(Kama yaliyoandikwa ni ya Kweli) basi this is Another none in our Millitary sense.
Hebu mtafuteni huyo Kanali wenu mliyempa kitengo nyeti bila kujua kuwa ni adui halafu baadaye akawatorokeni.
Tumewaungeni mkono kipindi chote shida mlivyokuwa mkituhitaji na sasa mnapanga kusimama kujipima dhidi JF?
JF ni sisi, hivyo mmechagua kusimama dhidi yetu na yenu wenyewe. Habari ni za uhakika sijui shida yenu nini, au jamaa wa kile chama wameona ndiyo muda muafaka wa kuitumia JWTZ kuzorotesha JFkabla ya uchaguzi mkuu?
JF siyo Mtwara, wala siyo M23.