Taarifa ya kukosekana kwa umeme kwenye baadhi ya mikoa Nchini


Uende somalia ukaungane nao masaa machache yaliyopita wametangaziwa ushindi na Naibu Rais wa Kenya kwamba hazina ni mufilisi.
 
Lisu anashangilia na kufurahi sana huko chumbani kwa Amsterdam
Haya matusi unayomtukana Lissu kila mara yanakusaidia nini?

Ni siasa tu zinakufanya kumtukana mtu mzima kama Lissu matusi makubwa hivi?

Katika maisha yako ulishawahi kumwona baba yako mzazi yuko na mwanamme chumbani,?
Lissu ana familia, ndugu, na marafiki wanakwazika na matusi yako, kama ambavyo ungekwazika ukitukaniwa wazazi wako,
 
Alieneza chuki sana kwenye taifa letu
 
Alieneza chuki sana kwenye taifa letu
Chuki kama zipi? Ukiona anaeneza chuki, wewe hubiri amani.
Sio kumtukana matusi ya nguooni, na umekuwa na tabia hiyo kwa kutumia I'd tofauti,
Siasa zisitutoe utu, tunatofautiana lakini bado sisi ni binadamu tu,
 
Hizi hitilafu za kila siku zitaisha lini Tanzania hii?

Hii nchi kwenye suala la kusimamia nishati ya umeme wakiri tu kuwa WAMESHINDWA na wabinafsishe tu.
 
Tanesco waone aibu sasa, tatizo ni kina cha maji au hitilafu kwenye mitambo yao?

Hawa jamaa wanatuchezea sana siku hizi.
 
TUTAKUKUMBUKA CHUMA JPM! #R.I.P CHUMA JPM#
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…