Taarifa ya Kusitisha huduma za Athuman Kapuya Foundation

Taarifa ya Kusitisha huduma za Athuman Kapuya Foundation

Je huyu Athumani ndugu yake waziri mwandamizi zamani serikalini Professor Juma Kapuya?
Ni Huyu hapa, Hata yeye hamnazo!
Screenshot_20240604-182103.jpg
 
Watu wenye kutaka kufanya jambo tofauti mbona Wana mbinu nyingi na wengi wanadhibitiwa na wengine wanapenya lakini wanashikwa kama hivi. Mbona hata vibaka wanadhibitiwa na Polisi kata wengine wanapenya? Magonjwa yanadhibitiwa wengine wanaugua. Wakiugua wengine wanapewa dawa zilezile mwingine anapona mwingine haponi. Hata kukamatwa Kwa Hawa ni ishara ya mifumo kufanya kazi. Tushirikiane maisha haya ni mapambano mwanzo mwisho....
Vizuri sana Waziri kupitapita huku JF kuna mengi hata yasiyokuwa kwenye wizara yako unaweza kuyapush.....
 
Mheshiwa, hatua hii ni njema na inastahili kabisa kuchukuliwa kwa nia ya kulinda utaifa wetu. Nipende tu kutoa wito, isiishie kwa hao tu. Kuna wale ambao wameshaathirika na jambo hili. Hao mashoga walioko mitaani, kama wizara mnachukua hatua gani? Yaani imefikia mahala wananchi wanajichukulia sheria mikononi, kwa vile tu wanaona kifanywacho ni aibu kwao na kwa taifa, lakini kama taifa, halichukui hatua stahiki.

Mfikirie yule aliyekatwa masikio huko Zanzibar na kisha kutelekezwa msituni, mfikirie yule askali ambaye alituhumiwa huko Zanzibar etc. Watu hao na wengine ambao kwa namna moja au nyingine wanajulikana, lakini hakuna hatua madhubuti za kuwadhibi. Inawezekana mnachukua hatua kimya kimya, lakini unfortunately matokeo ya hatua hizo hatuyaoni huku SITE. Hebu mfikirie yule Meneja wa Lamada aliyetajwa na akina Mwakyembe na kwmba amepongezwa kwa kuifanya hotel yake kuwa sehemu salama ya mashoga kufikia..!! Serikali imechukua hatua gani..!!??

YAANI WASIOJULIKANA WANAHITAJIKA HUKU NA SIO HUKO WALIKO..!!!!
Labda wewe unaweza kututhibitishia kuhusu kilichoandikwa kwenye hivyo vitabu, msitake tuunge mkono kitu tusichokijua.
 
Wasaalam.


4 Juni, 2024, Dodoma.
________________

Athuman Kapuya Foundation ni shirika lililosajiliwa mwaka 2021 ambapo, kwa kipindi chote limetekeleza matakwa ya kisheria ya uwasilishaji wa taarifa na kulipa ada.
Jana nikiwa na tizama UTV niliona kwenye taarifa yao ya habari.

Niliona Yale ma boksi yenye vitabu na pedi na items zingine zingine

Kwa mfano mdogo tu vitabu vilifikaje tabora vilipita bandarini? Zilikuja kontena ngapi? He vimegawiwa wapi na wapi?

Then Paul chacha akaanza kufoka na kusema hawataki hata zawadi za computer maana hawawezi jua watakua wamezifanya Nini ikiwezekana wazipasue pasue..

Mambo mengi yamenifikirisha mpaka kiasi Cha kukumbuka ULE MCHELE ULIO RUTUBISHWA?!

Je wahisani wangapi wenye Nia ovu ?? Ni mangapi yanafanyika kwenye madawa ya binadamu na ya kilimo, soda, carbonated drinks, dawa za meno, mafuta ya kula e.t.c Mbona inafikirisha sanaa?

Ni Nini long-term plan ya wizara husika na taifa kwa ujumla kukabiliana na Mambo Kama haya?
 
Huyu mama nampa namba moja kwa sasa kwa wanawake maarufu wanaotimiza wajibu wao kikamirifu katika Serikali hii.
Sijajua kwa ngazi zingine za chini naami wapo pia ila kwa leo nimpongeze huyu tu.
 
Mheshiwa, hatua hii ni njema na inastahili kabisa kuchukuliwa kwa nia ya kulinda utaifa wetu. Nipende tu kutoa wito, isiishie kwa hao tu. Kuna wale ambao wameshaathirika na jambo hili. Hao mashoga walioko mitaani, kama wizara mnachukua hatua gani? Yaani imefikia mahala wananchi wanajichukulia sheria mikononi, kwa vile tu wanaona kifanywacho ni aibu

YAANI WASIOJULIKANA WANAHITAJIKA HUKU NA SIO HUKO WALIKO..!!!!
Wazo jema, isipokuwa kuwaalika 'Watu wasiojulikana' ili kushughulika na wahusika wa masuala haya kwa mtazamo wangu naona kama siyo sahihi. Endapo kama kila kosa linatakiwa kushughulikiwa na 'watu wasiojukikana' Basi tutakuwa tunatengeneza Taifa la hatari Sana, Watu wengi watakuwa wanajichukulia Sheria mkononi dhidi ya maadui zao na Kisha kuibua tatizo lingine la Mauaji ya kiholela. Nafikiri Sheria zizingatiwe ktk kushughulika na Watu kama hao, tusiruhusu Mauaji ya kiholela.
 
Watu wenye kutaka kufanya jambo tofauti mbona Wana mbinu nyingi na wengi wanadhibitiwa na wengine wanapenya lakini wanashikwa kama hivi. Mbona hata vibaka wanadhibitiwa na Polisi kata wengine wanapenya? Magonjwa yanadhibitiwa wengine wanaugua.

Wakiugua wengine wanapewa dawa zilezile mwingine anapona mwingine haponi. Hata kukamatwa Kwa Hawa ni ishara ya mifumo kufanya kazi. Tushirikiane maisha haya ni mapambano mwanzo mwisho....

Mh Waziri Dr. GWAJIMA, you are among the best kwenye cabinet katika kutekeleza majukumu ya kiwizara.

Huku kwa grassroots, you have full support from the community.

Keep the fire burning. Keep excelling.

-Kaveli-
 
Huyu mama nampa namba moja kwa sasa kwa wanawake maarufu wanaotimiza wajibu wao kikamirifu katika Serikali hii.
Sijajua kwa ngazi zingine za chini naami wapo pia ila kwa leo nimpongeze huyu tu.

She performs well. Pongezi kwake na team yake yote pale Wizarani.

-Kaveli-
 
Acha unafiki, ushoga upo enzi na enzi kwenye jamii zetu hasa za pwani na dini ile, people are doing it secretly. wazungu wamekuwa wakweli/si wanafiki wameweka hadharani, lakini haya mambo yanafanyika hasa kwenye influence ya waarabu.
Umesikia ya Mafia? watoto 15 wamelawitiwa na mambo kama hayo mengi tu!
 
Back
Top Bottom