Taarifa ya Kusitisha huduma za Athuman Kapuya Foundation

Taarifa ya Kusitisha huduma za Athuman Kapuya Foundation

Mkuu huwezi kuwapangia watu namna ya kujibu hoja yako.

Tulia umeweka hoja yako mezani, vumilia ijadiliwe na kila mtu kwa maoni, uelewa, mtazamo na uzoefu wake.

Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake hapa!!!
amenitukana kwa vile nimekuwa kinyume na thinking yake. Huyu atakuwa wa dini ile ndio wanamunkari wa kutaka kila mmoja afuate anavyotaka, eti imeamriwa.

Mimi siungi mkono ushoga, kama nisivyounga mkono ulevi, lakini anayefanya mwache afanye. HIS BODY, HIS RIGHT!
 
Serikali inapokea izo hela tangu inapata uhuru had leo!! uwe unapinga au unakubali serikali yako bado ina sain cheki ya mabilion kila siku……
Sijataja Serikali nimesema misaada ya Wa-Tanzania mukipenda kupewa na wazungu mwisho wake mutalazimishwa kuwa mashoga. Usilete Mambo ya siasa hapa. Hiyo ni Taasisi ya Watu binafsi ndio inayotoa misaada hiyo kutoka kwa Wazungu. hakuna hapo Serikali haipo. Mkuu wa Mkoa wa Mtwara amekwenda kujionea yeye mwenyewe Tafadhali usinichonganishe mimi na Serikali yetu tafadhali sana
 
Hivi ushoga uliotamalaki pwani na Pemba umeletwa na misaada?
We mkenya mmefikia huku kweli? Mnajiingiza pombe hadi matakoni aise
 

Attachments

  • Screenshot_20240605-124626_Facebook.jpg
    Screenshot_20240605-124626_Facebook.jpg
    271.4 KB · Views: 3
amenitukana kwa vile nimekuwa kinyume na thinking yake. Huyu atakuwa wa dini ile ndio wanamunkari wa kutaka kila mmoja afuate anavyotaka, eti imeamriwa.

Mimi siungi mkono ushoga, kama nisivyounga mkono ulevi, lakini anayefanya mwache afanye. HIS BODY, HIS RIGHT!
👍👌🤝🛡️
 
Sijataja Serikali nimesema misaada ya Wa-Tanzania mukipenda kupewa na wazungu mwisho wake mutalazimishwa kuwa mashoga. Usilete Mambo ya siasa hapa. Hiyo ni Taasisi ya Watu binafsi ndio inayotoa misaada hiyo kutoka kwa Wazungu. hakuan Serikali hapo Mkuu waMkoa wa Mtwara amekwenda kujionea yeye mwenyewe Tafadhali usinichonganishe mimi na Serikali yetu tafadhali.
🤣 🤣 🤣
 
Tatizo la ushoga si tatizo kubwa kama linavyoongelewa hapa Tanzania.

Halafu hii si juma kapuya foundation? Juma kapuya na Athumani kapuya si ndugu?

Hivi zile shutuma za kubaka binti mdogo ziliishia wapi miaka ya 2013ziliishia wapi?
 
Wapenda wazungu utawajua tu haya pata ujumbe kutoka kwa mchungaji ado november
Uko kwenye keyboard kwa discoveries za wazungu usiowapenda! Wewe huwapendi, basi achana na discoveries zao! Discard everything originating from wazungu! Carnot cycle engine
 
Acha unafiki, ushoga upo enzi na enzi kwenye jamii zetu hasa za pwani na dini ile, people are doing it secretly. wazungu wamekuwa wakweli/si wanafiki wameweka hadharani, lakini haya mambo yanafanyika hasa kwenye influence ya waarabu.
Umesikia ya Mafia? watoto 15 wamelawitiwa na mambo kama hayo mengi tu!
Unaipinga dini yako ewe kafiriiii? Maana nyinyi mmeamrishwa kuwa mashoga na maneno yapo kwenye bibilia
 
Uko kwenye keyboard kwa discoveries za wazungu usiowapenda! Wewe huwapendi, basi achana na discoveries zao! Discard everything originating from wazungu! Carnot cycle engine
jitahidi kuelimika duniani tunategemeana mungu kaweka hivyo , wao wanatutegemea sisi kwa mali asili zetu bila ya hizo hata hizo iphone hawataweza kutengeneza,
Na hata hivyo wapo waafrica wengi ,wahindi wachina na kadhalika wote wanavumbua vitu mbalimbali kwa maendeleo ya dunia
Na huko kupenda kwako wazungu kusikufanye ukapoteza hadi utu wako na kupoteza uwezo wako wa kufikiria #slave mentality#
 
Hata ya waarabu ina athari, wanapumbaza watu kwa mgongo wa dini
 
Hapana, Kila kitu Kinachonihusu Mimi na wewe hakiruhusu USHOGA. Imekuaje wewe mwenzetu umekengeuka ??
Mnaufanya sana kwa siri! Wanaokuhusu wanaufanya sana, kwa siri. Kuna watu wanakula nyama ya nguruwe kwa siri na kunywa pombe kwa siri, hivyo hivyo kwenye ushoga!
Difference in thinking does not mean consent! Siungi mkono ushoga, kama nisivyounga mkono ulevi nimesema, Hakuna kukengeuka, it is a matter of different outlook. Anayefanya mwache afanye as long as he is not against the law. Even if the law does not support that, that is a depressive law!
 
n
Na hata hivyo wapo waafrica wengi ,wahindi wachina na kadhalika wote wanavumbua vitu mbalimbali kwa maendeleo ya dunia
nipe mfano wa hao waichogundua ambacho has a tremendous influence on your daily life
 
Na huko kupenda kwako wazungu kusikufanye ukapoteza hadi utu wako na kupoteza uwezo wako wa kufikiria
it seems umemaliza shule /university za kata, I can see your arguments!
 
Kupenda kupewa vya bure na watu wa njee ni kuonyesha ni umaskini na pia chochote unaweza pewa ili chamsingi ni kupambana na tulichonacho tusaidiane wenyewe misaada ya nje ina conditions nyingi na hao hawawezi toa msaada bila kunufaika au kutaka kitu fulani na hapo ni kutaka kuaribu kizazi chetu cha badae kiwe cha hovyo kabisa.
Tunahitaji watu wenye hekima na hofu ya Mungu kukemea hili swala maana linaonekana kama halipo lakini katika jamii yetu lipo sana.
Ni kweli kabisa kizazi chetu kitaharibika baada ya miaka 10 ijayo jambo la ushoga litakuw ani kitu chakawaida katika jamii yetu itakuwa kila Wanaume 100 basi wanaume 10 watakuw ani mashoga na kila wanawake 100 wanawake 10ni wasagaji tusipo chukuwa hatua kali kupiga vita ushoga jamii yetu itaharibika kabisa wazungu wanafanaya kila kampeni ili kuharibu kizazi chetu kwa sababu hawataki watu wawe wengi duniani wanatumia misaada yao kutuharibu kizazi chetu tusipokuwa waangalifu tutaharibikiwa sana .


447732175_3106046736198491_3395141995825057371_n.jpg
 
Hivi,hao wazungu wanapoleta misaada,huwa wanawalazimisha kuinama "mpewe" au ni akili za baadhi ya wapokea misaada kupenda kuinama na ni tabia zao tu?Uletewe chandarua cha msaada wewe uanze mambo yako ya kupumuliwa kunahusiana vipi sasa?
 
Acha unafiki, ushoga upo enzi na enzi kwenye jamii zetu hasa za pwani na dini ile, people are doing it secretly. wazungu wamekuwa wakweli/si wanafiki wameweka hadharani, lakini haya mambo yanafanyika hasa kwenye influence ya waarabu.
Umesikia ya Mafia? watoto 15 wamelawitiwa na mambo kama hayo mengi tu!
Sasa hapo unafiki wake ni nini au na wewe ni shoga?
 
Back
Top Bottom