Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Ni kweli kbsa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uanze Wewe kuacha Ujinga wa hatari wa namna hii.Acha unafiki, ushoga upo enzi na enzi kwenye jamii zetu hasa za pwani na dini ile, people are doing it secretly. wazungu wamekuwa wakweli/si wanafiki wameweka hadharani, lakini haya mambo yanafanyika hasa kwenye influence ya waarabu.
Umesikia ya Mafia? watoto 15 wamelawitiwa na mambo kama hayo mengi tu!
Mimi ninapinga ushoga ndio maana nimeleta hiyo habari je wewe unaunga mkono ushoga? Mimi sikubali misaada ya wazungu kwani ninatafuta mwenyewe ukisaidiwa sana mwisho wake utalipa na kulipa kwa siku hizi uwe shoga je utakubali usaidie sana ili uwe shoga?mbona we hujawa shoga
Nyie machoko tutawapiga vita mpaka muache huo uchoko,Acha unafiki, ushoga upo enzi na enzi kwenye jamii zetu hasa za pwani na dini ile, people are doing it secretly. wazungu wamekuwa wakweli/si wanafiki wameweka hadharani, lakini haya mambo yanafanyika hasa kwenye influence ya waarabu.
Umesikia ya Mafia? watoto 15 wamelawitiwa na mambo kama hayo mengi tu!
Ushoga hauhusiani na dini. Ni hulka na tabia binafsi za mtu. Pumbavu mkubwa wewe.Acha unafiki, ushoga upo enzi na enzi kwenye jamii zetu hasa za pwani na dini ile, people are doing it secretly. wazungu wamekuwa wakweli/si wanafiki wameweka hadharani, lakini haya mambo yanafanyika hasa kwenye influence ya waarabu.
Umesikia ya Mafia? watoto 15 wamelawitiwa na mambo kama hayo mengi tu!
Dini gani nimeitaja? Pumbavu mama yakoUshoga hauhusiani na dini. Ni hulka na tabia binafsi za mtu. Pumbavu mkubwa wewe.
Wewe hapo dini yako na mila za kabila lako vinakuruhusu kuwa shoga,Uanze Wewe kuacha Ujinga wa hatari wa namna hii.
Pia Uache tabia chafu ya kusambaza hizi Hamasa zako za Mapenzi ya jinsia Moja (Ushoga).
Ukifanya hivyo Mungu atakupenda na kukubariki
Ulivyosema pwani na dini ile ulimaanisha nini? Acha ujuaji na usela mavi dogo.Dini gani nimeitaja? Pumbavu mama yako
stupid, pwani kuna dini ngapi? stupid of you!Ulivyosema pwani na dini ile ulimaanisha nini? Acha ujuaji na usela mavi dogo.
dogo mavi baba yakoUlivyosema pwani na dini ile ulimaanisha nini? Acha ujuaji na usela mavi dogo.
Naona unataka kutumalizia hang over zako. Byeeeeeeeeeeeestupid, pwani kuna dini ngapi? stupid of you!
Serikali inapokea izo hela tangu inapata uhuru had leo!! uwe unapinga au unakubali serikali yako bado ina sain cheki ya mabilion kila siku……Mimi ninapinga ushoga ndio maana nimeleta hiyo habari je wewe unaunga mkono ushoga? Mimi sikubali misaada ya wazungu kwani ninatafuta mwenyewe ukisaidiwa sana mwisho wake utalipa na kulipa kwa siku hizi uwe shoga je utakubali usaidie sana ili uwe shoga?
Mkuu huwezi kuwapangia watu namna ya kujibu hoja yako.Ungelitoa ushauri nisingekujibu hivyo mjinga wewe umenitukana kuniita mnafiki na mimi nimekujibu hivyo acha kuunga ushoga wewe lete ushauri sio kuunga ushoga utapenda uitwe shoga?au kam una kaka yako au mdogo ni shoga utafurahia awe shoga?achaujinga wako wa kunitukana Toa ushauri ili watu wakusikilize usije hapa kuharibu Thread yangu umetumwa na wakubwa wako iliuje uniharibie Thread yangu? Ukiona mtu anaunga mkno mashoga basi na yeye pia huenda akawa ni shoga nin wasiwasi na wewe huend ahuo mchezo unao hutaki kusema ukweli wako .
sitaki matusi, jibu hoja kama unaona huwezi kujibu bila matusi, just skip the thread and forge ahead!Naona unataka kutumalizia hang over zako. Byeeeeeeeeeeee
Kupenda kupewa vya bure na watu wa njee ni kuonyesha ni umaskini na pia chochote unaweza pewa ili chamsingi ni kupambana na tulichonacho tusaidiane wenyewe misaada ya nje ina conditions nyingi na hao hawawezi toa msaada bila kunufaika au kutaka kitu fulani na hapo ni kutaka kuaribu kizazi chetu cha badae kiwe cha hovyo kabisa.
Hapana, Kila kitu Kinachonihusu Mimi na wewe hakiruhusu USHOGA. Imekuaje wewe mwenzetu umekengeuka ??Wewe hapo dini yako na mila za kabila lako vinakuruhusu kuwa shoga,
Ata waarabu mi naona mashoga wale pia kule kina sehemu wanakuja wazingu forozan huko ile hali ya ku interact nayo ni chanzoHivi ushoga uliotamalaki pwani na Pemba umeletwa na misaada?
Wapenda wazungu utawajua tu haya pata ujumbe kutoka kwa mchungaji ado novemberAcha unafiki, ushoga upo enzi na enzi kwenye jamii zetu hasa za pwani na dini ile, people are doing it secretly. wazungu wamekuwa wakweli/si wanafiki wameweka hadharani, lakini haya mambo yanafanyika hasa kwenye influence ya waarabu.
Umesikia ya Mafia? watoto 15 wamelawitiwa na mambo kama hayo mengi tu!