Taarifa ya Kusitisha huduma za Athuman Kapuya Foundation

Mkuu Abdul,

Ni kweli katika makosa ya jinai mtu aliyetendewa huwa ni shahidi tu? Na
anayelalamika ni Jamhuri sababu umetenda kinyume na sheria?
Ni kweli, ila sio katika mahakama zote, hii ipo kwa zile kesi zinazo sikilizwa kuanzia ngazi ya Mahakama ya wilaya mpaka Mahakama kuu. Kwa Mahakama ya mwanzo anashitaki aliyetendewa.​
 
Ni kweli, ila sio katika mahakama zote, hii ipo kwa zile kesi zinazo sikilizwa kuanzia ngazi ya Mahakama ya wilaya mpaka Mahakama kuu. Kwa Mahakama ya mwanzo anashitaki aliyetendewa.​
Mkuu Abdul,

Sipo hapa kuku- challenge ila kujifunza.

Sasa tuangalie katika muktadha ambao wanaume wawili, watu wazima, wenye akili timamu wameamua kwenda kinyume na kufanya ushoga kwa matakwa yao wenyewe.

Nataka kufahamu njia ipi ya uchunguzi hutumika kutatua kesi hizi bila kuathiri haki ya faragha na usalama wa mtu katiba ibara ya 16-(1) -(2)?

Tuzingatie kwamba ushoga ni kufanya kwa matakwa ya watu wawili waliokubaliana.
 
Kuna uwezekano wakasajili shirika jingine na kuendelea na harakati zao.
Kwa sbb hakuna ufuatiliaji na utendaji
 
Sipo hapa kuku- challenge ila kujifunza.
Vyema🤝
Nataka kufahamu njia ipi ya uchunguzi hutumika kutatua kesi hizi bila kuathiri haki ya faragha na usalama wa mtu katiba ibara ya 16-(1) -(2)?
Swali zuri na mtambuka haswa, nami nitalijibu kwa kadri niwezavyo. Kwanza kabisa, ni muhimu kutambua kwamba chini ya Ibara ya 13(6)(b) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mtu yeyote aliyeshtakiwa kwa kosa la jinai anapaswa kuchukuliwa kuwa hana hatia mpaka pale itakapothibitishwa vinginevyo. Hii ina maana kwamba, katika hatua ya uchunguzi, wahusika ni washtakiwa tu na si watenda kosa.​
Hii inamaana ya kwamba, Katika uchunguzi wa kesi zinazohusiana na ushoga, ni muhimu kwa vyombo vya dola kufuata sheria zilizowekwa ili kuhakikisha kwamba haki za msingi za watuhumiwa hazivunjwi. Hii inajumuisha kuheshimu haki ya faragha na usalama wa mtu kama ilivyoelezwa katika Ibara ya 16 ya Katiba. Uchunguzi unapaswa kufanyika kwa njia ambayo inaheshimu haki hizi, na si kwa njia inayoweza kukiuka faragha ya mtu.

Uchunguzi huu unaweza kujumuisha vipimo vya hospitali n.k, sasa sidhani kama kwenda kwa Dr kupima ni kuingiliwa kwa faragha, lakini hapa sasa kwa mujibu wa sheria zetu, hiyo hospitali (kama mkusanya taarifa binafsi za wahusika) hailazimiki kuwapatia taarifa izo wahusika bali wachunguzi. (Angalia Kifungu cha 33(2)(b) cha Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi).​

Kwaio, sitetei ila ni muhimu kwa vyombo vya uchunguzi kufuata sheria na taratibu zilizowekwa ili kuhakikisha kwamba haki za watuhumiwa hazivunjwi wakati wa uchunguzi, na kwamba uchunguzi unafanyika kwa njia inayoheshimu haki za binadamu na uhuru wa kikatiba.​
 
Hii ina maana kwamba, katika hatua ya uchunguzi, wahusika ni washtakiwa tu na si watenda kosa.
Mkuu,

Ikatokea kwamba tuhuma si za kweli na wahusika tayari walishachafuliwa kwamba wao wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja.

Hawa watuhumiwa wanalipwa vipi (indemnify) zao? Na vipi kuhusu katika jamii wanayoishi nayo?

How these laws can clear the slander in their society that the allegations they have been accused for is not really?

Sababu Mimi nilishaona jamaa alikuwa na muonekano mzuri na mara nyingi akirudi kwake yupo ndani ya gari akitoka ni ndani ya gari na ni kijana tu.
Zikaanza tuhuma kwamba jamaa ni shoga sababu ni zipi? Vijana wenyewe wanajua kama ni kuwazidi mafanikio au muonekano wanafahamu wao. Ikaja kugundulika kwamba mshikaji ni player sana hivyo hupitisha watoto wakike kwa gari lakini hapo alishachafuliwa ni shoga sana.

sasa katika mazingira yetu ya kawaida hawa wtuhumiwa wanalindwa vipi kiasi cha kusema kwamba Faragha na usalama wao hautakuwa hatarini?
Uchunguzi huu unaweza kujumuisha vipimo vya hospitali n.k,
Hapa ninaweza kukuuliza maswali mengi ila tuachane napo sababu panahitaji taaluma ya udaktari zaidi.

Nikusumbue kidogo mkuu, Naomba kesi za watu waliokutwa wakijihusisha na mapenzi ya jinsia moja na wakapewa hukumu hapa kwetu. Nataka kujifunza ni namna gani wanafanya uchunguzi wao haswa ripoti ya daktari.
 
Huyu juma athumani kapuya na watoto wake wote hawana maadili ya ni wapuuzi sana huko kaliua wamevunja ndoa nyingi yeye na mtoto wake aitwae baraka ni wahuni mno

Sasa zee zima linafunga ndoa na mjukuu wake yani ukiondoa elimu na nafasi alizowahi kushika inchini kinachobaki ni kizee kipumbavu kisichojitambua.
 
Baraka kapuya kavunja ndoa ya gandi jamaa mmoja hivi wa kaliua.kapuya mwenyewe malaya mpaka anasadikika kuwa na ukimwi
 
Mkuu naona inatakiwa tufanye na official interview kabisa😀 (joking). Anyway, katika sheria za Tanzania, mtu ambaye amesingiziwa kwa tuhuma zisizo za kweli anaweza kuchukua hatua za kisheria kudai fidia kwa madhara aliyoyapata. Hii ndio 'indemnification'. Kwa mujibu wa sheria za Tanzania, mtu anaweza kufungua kesi ya madai ya kashfa (defamation) ikiwa jina lake limechafuliwa kwa tuhuma zisizo za kweli.

Kesi ya kashfa inalenga kulinda sifa na heshima ya mtu dhidi ya madai yasiyo ya kweli ambayo yanaweza kumshushia heshima katika jamii. Ikiwa mtu ameathirika na kashfa, anaweza kufungua kesi mahakamani na kudai fidia kwa madhara aliyoyapata, ikiwa ni pamoja na madhara ya kihisia, kijamii, na kiuchumi.

Kuhusu ulinzi wa faragha na usalama, Tanzania ina sheria zinazolinda haki za faragha za watu. Hata hivyo, katika mazingira ya kijamii, mara nyingi ni changamoto kurejesha heshima na sifa ya mtu baada ya kuchafuliwa. Jamii inaweza kuendelea kuwa na mtazamo hasi hata baada ya tuhuma kubainika kuwa si za kweli. Hivyo, ni muhimu kwa mtu aliyechafuliwa kufanya juhudi za kisheria na kijamii kurejesha heshima yake.

Kwa upande wa sheria, mtu anaweza kutafuta ushauri wa kisheria na kuchukua hatua stahiki kudai haki zake. Ni muhimu kwa mtu kufahamu haki zake na kuzitumia ipasavyo ili kulinda sifa na heshima yake katika jamii.​
Nikusumbue kidogo mkuu, Naomba kesi za watu waliokutwa wakijihusisha na mapenzi ya jinsia moja na wakapewa hukumu hapa kwetu. Nataka kujifunza ni namna gani wanafanya uchunguzi wao haswa ripoti ya daktari.
Kumekuwa na kesi nyingi zilizofunguliwa Tanzania zinazohusiana na mapenzi ya jinsia moja, ikiwemo ile inayomhusu Kena Noel au ile ya polisi wa Zanzibar. Hata hivyo, hakuna kesi hata moja ambayo watu wawili wameshtakiwa pamoja na kutiwa hatiani kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja hapa nchini.​
 
Wakili msomi Abdul.

Nashukuru sana kwa majibu yako mazuri. Unisamehe huwa ninajitahidi kutokuhoji ila ni mtu ambaye hata shuleni nilikuwa napata shida nikiambiwa kitu Halafu akili yangu haikubaliani nacho basi lazima nipewe adhabu kwa kuuliza maswali ambayo walimu walitafsiri ni kuwapinga.

Kwa kuwa Mke wangu yupo katika Taaluma hii hayo mengine atayajibu maana huwa mpaka anachoka.

Jumapili njema mkuu🙏🏽
 
Wee Mlongo huoni aibu kuhamasisha mauaji kwa binadamu mwenzio, tena asiye na hatia yoyote kwako? Kwani mwili ni wake au wako?

Km ishu ni maadili? Vipi makahaba? Wazinzi? Wavuta bangi na madawa ya kulevya? Walevii? Wezi? Majambazii?

Acheni UNAFIKIII.
 
ushoga umeshika kasi sana.mweshimiwa tunaomba na kitambaa cheupe pale sinza kuwapa onyo maana ni aibu kwa vijana waliopo vyuoni
Kwani kitambaa cheupe ni mahali Pa watu straight tyuu? Si ni watu wote? Acha ubaguzii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…