Taarifa ya Polisi kuhusu kutekwa kwa Abdul Nondo sijaielewa

Taarifa ya Polisi kuhusu kutekwa kwa Abdul Nondo sijaielewa

Hapa ndipo ninapowaelewa watu wanaoitwa wakatili WAKURYA,hawatekwi kizembe.
Zakaria ni case study kwako wewe unaye bisha.
Lkn pia hawakosi kuambatana na siraha ndogondogo kama PANGA,SIME NA KISU.
Tunakoelekea inaweza kuwa hivyo
 
M
Hebu Isome mwenyewe halafu tueleweshe na sisi;

TAARIFA KWA UMMA

Jeshi la Polisi lingependa kujulisha kuwa, Disemba 1,2024 majira ya saa 11.00 alfajiri katika eneo la stendi ya Magufuli Mbezi Louis Dar es Salaam kuna mtu mmoja mwanaume amekamatwa kwa nguvu na kuchukuliwa na watu waliokuwa wakitumia gari lenye usajili wa namba T 249 CMV aina ya Landcruiser rangi nyeupe.

Ilielezwa na mashuhuda kuwa katika purukushani za ukamataji begi dogo lilidondoshwa na baaadhi ya vitu vilivyokuwemo vimetambuliwa ni vya Abdul Omary Nondo.

Ufuatiliaji wa tukio hilo ulianza mara tu baada ya kupokelewa kwa taarifa hiyo Polisi, sambamba na kufungua jalada.

Imetolewa na:
David A. Misime - DCP
Msemaji wa Jeshi la Polisi
Makao Makuu ya Polisi
Dodoma, Tanzania

Pia soma: Kuelekea 2025 - News Alert: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli



Lakini Je Majibu ya ufuatiliaji wa Wengine waliotekwa akiwemo Soka na Bonge wa Kiluvya yako wapi?

Iko siku hata Msemaji wa Polisi aweza kutekwa na bado Jeshi la Polisi litaendelea kusema tunafuatilia
Masikini Jeshi letu la Polisi limekua watoa taarifa tu, sio watendaji tena!

Tukio la kupigwa risasi la Tundu Lisu ,Polisi watiltoa taarifa, hadi sasa hawajafungua hata jarida la uchunguzi, Sativa ametekwa, kateswa na kupigwa risasi, hadi Mkuu wa nchi katoa gharama za matibabu, na Sativa kabla na baada ya kupona aliwataja wahusika, Jeshi la Polisi hadi leo halina kamatwa yeyote, Mzee Kibao alitekwa kwenye Bus Polisi wakitoa taarifa, siku mbili ikakutwa maiti yake Ununio Polisi ikatoa taarifa ,hadi leo hakuna aliye kamatwa, juzi juzi tumeona video clips za jaribio la kumteka Deo Tarimo, Polisi wakitoa taarifa , watu walio kuwa wanajaribu kumteka Deo, wanaonekana kwenye video na hao watu baada ya video hizo wetambulika kwa majina ,shule walizo soma , kazi wanazo zifanya na maeneo wanayo patikana, Polisi bado haijakata MTU kati yao.


Sasa katika matukio ya utekaji wananchi wakihisi kwamba Jeshi la Polisi linahusika moja kwa moja, watakua wamekosea!? Mbona matukio yanayo fanywa gizani ,Polisi wanafanya uchunguzi na watuhumiwa wanapatikana? Kwanini haya mengine watuhumiwa hawapatikani wakati Kuna ushahidi wa kuanzia!? Mfano walio mteka Nondo, gari lililo tumika linajulikana namba zake, lakini kwenye eneo la tukio wamesahau Pingu!


Nchi hii ni yetu sote kama Nondo na wenzake wana makosa ,kwanini wasikamatwe kwa njia za kawaida na kufunguliwa mashitaka!? Haya mambo ya kutekana, yanaleta chuki dhidi ya viongozi, haya mambo ya kuchafua uchaguzi na kujitangaza washindi wakati hamjachaguliwa na wananchi yanaleta chuki dhidi ya viongozi, ni vigumu sana kuwathibiti watu au kudhibiti AMANI ya nchi kwa kumtumia njia za kihalifu.

AMANI ni TUNDA la HAKI
 
Yes. Ilitakiwa waondoke na hiyo simu.
Maana kwenye taarifa ya Polisi hakuna sehemu imeongelewa.
Na pingu je hawakupewa?
Kukabidhi hivyo vitu kwa mapolisi nalo ni kosa kubwa wamefanya. Sisi watanzania kwa kweli kujifunza kitu ni shida kubwa sana kwetu.
 
Sijui hii itaishia vipi ila kikubwa kijana arudi uraiani.
Aendelee kupipigania Chama na nchi yake.
Sema alishawahi kuweka video mwaka huu akiwatuhumu hawa wasiojulikana kumfuatilia mpaka home.
Kiufupi video inaonesha washkaji wakiwa kwenye gari, yeye akiwarecord kupitia dirisha,na baada ya kupiga kelele sana wakaishia kumwambia watamtafuta.
 
Abdul Nondo ni kiongozi mkubwa sana, ila jamaa wanaona wakimuelezea kwa Cheo chake watakuwa wanawaudhi wakubwa wao hivyo wanamuelezea kama mtu mmoja wanaume.
IMG_20241201_153916.jpg


Angekuwa sasa ni UVCCM hapo angeelezewa kwa cheo chake na kuweka neno Mh kabka ya kuanza kutaja jina lake.

Police ni taasisi ilio jaaa dharau sana na majivuno sana, jamaa wanaona wako karibu na Mungu, na hakuna kitu watu wanaweza wafanya.

Ni taasisi ilio jaaa Fabrication ya taarifa hasa zile ambazo zinaelekea kuwa negative kwa Serikali.
 
Sio lazima uelewe wewe, we ukielewa taarifa za mbowe na lissu tu inatosha. Hizo zingine tuachie sisi wengine wenye akili huru tutaelewa. Itumie jumapili hii kumpikia maharage ya nazi mumeo.
 
Hawa wanatutoa kwenye mjadala wa uchagizi wa serikali za mitaa hakuna lingene hapo
Ile walishamalizana nalo: vyama 14 walikubali uchaguzi ulikua wa haki; viongozi wa dini walisifia; Yanga kashinda; Mi naelekea jukwaa la Mapenzi na Mahusiano.
 
Hapo wamemtaja vyema sana professionally. Sasa wamtaje Abdul Nondo, kwani wana ushahidi gani usio na shaka?

Si Nondo ndiye yule alijitekaga mwenyewe miaka fulani huko nyuma - akakutwa kumbe alifunga safari kwa basi kuelekea Iringa?
 
Abdul Nondo ni kiongozi mkubwa sana, ila jamaa wanaona wakimuelezea kwa Cheo chake watakuwa wanawaudhi wakubwa wao hivyo wanamuelezea kama mtu mmoja wanaume.
View attachment 3166582

Angekuwa sasa ni UVCCM hapo angeelezewa kwa cheo chake na kuweka neno Mh kabka ya kuanza kutaja jina lake.

Police ni taasisi ilio jaaa dharau sana na majivuno sana, jamaa wanaona wako karibu na Mungu, na hakuna kitu watu wanaweza wafanya.

Ni taasisi ilio jaaa Fabrication ya taarifa hasa zile ambazo zinaelekea kuwa negative kwa Serikali.
Huwa sishabikii uhuni lakini Zitto ni mmoja ya watu wanamsifia Samia na kusema anaongoza vizuri. Zitto alikuwa mstari wa mbele kufukia mambo wakati Satifa aliponusurika kuuawa kwa kumkingia kifua Samia. Ukifukia uozo, kesho utanuka.
 
Tuitafute familia ya huyo Minja tuiteketeze kwa moto na sisi.Hili ndo suluhisho nawaambi.

Na akijulikana mtekaji tuiteketeze familia yake,hili jambo litakoma kwa njia hii.
 
Wale wote ambao mnaona mko kwenye hizi mambo zakufuatiliwa angalau sasa muwe mnatembea na spring knife mkikosa pistol.

Ukishahisi kuna namna sio sahihi yakukukamata bila wito bali umevamiwa tu hauna budi kujihami in close range kwa kutumia spring knife usitishie mtu unampelekea kisu cha moyo na kukivuta nje huku unakizungusha (haraka haraka ili uwe tayari kumuattack mwingine) na kama una pistol straight peleka risasi kichwani au upande wa kushoto wa moyo.
 
Hapo wamemtaja vyema sana professionally. Sasa wamtaje Abdul Nondo, kwani wana ushahidi gani usio na shaka?

Si Nondo ndiye yule alijitekaga mwenyewe miaka fulani huko nyuma - akakutwa kumbe alifunga safari kwa basi kuelekea Iringa?
Acha utekaji Mkuu sote njia yetu ni Moja.
 
Taarifa imekaa kama gazeti la udaku.

Mtu mwenye akili timamu hawezi kuwasikiliza , raia ndio wametoa taarifa ya awali polisi wanaibuka saa 4 mbele baada ya kujadiliana wataingiaje kuzima tukio hilo ndio wamekuja na kipeperushi cha udaku wakikipa jina la barua ya ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom