Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Serikali haiwajui watekaji, Wananchi hawawajui watekaji mbaya zaidi Serikali inaonekana haina uwezo wa kupambana na hawa watekaji.
USHAURI: Serikali ianze kuruhusu raia sasa kumiliki na kutembea na silaha ili wajilinde na haya magenge, watu waruhusiwe bila milolongo Sasa kumiliki bunduki maximum mbili kwa kila mtu, Watanzania waruhusiwe kutembea na masime/mapanga/visu mitaani ili wajilinde na kutoa msaada kwa jeshi polisi kila waonapo raia mwenzao yupo matatizoni.
USHAURI: Serikali ianze kuruhusu raia sasa kumiliki na kutembea na silaha ili wajilinde na haya magenge, watu waruhusiwe bila milolongo Sasa kumiliki bunduki maximum mbili kwa kila mtu, Watanzania waruhusiwe kutembea na masime/mapanga/visu mitaani ili wajilinde na kutoa msaada kwa jeshi polisi kila waonapo raia mwenzao yupo matatizoni.