Taarifa ya Polisi kuhusu kutekwa kwa Abdul Nondo sijaielewa

Serikali haiwajui watekaji, Wananchi hawawajui watekaji mbaya zaidi Serikali inaonekana haina uwezo wa kupambana na hawa watekaji.

USHAURI: Serikali ianze kuruhusu raia sasa kumiliki na kutembea na silaha ili wajilinde na haya magenge, watu waruhusiwe bila milolongo Sasa kumiliki bunduki maximum mbili kwa kila mtu, Watanzania waruhusiwe kutembea na masime/mapanga/visu mitaani ili wajilinde na kutoa msaada kwa jeshi polisi kila waonapo raia mwenzao yupo matatizoni.
 
S
Nawakumbusha tena hii nchi ya kijamaa.
hatuna cha kufanya tumewapa mamlaka makubwa sana hawa watu. Usitegemee impact ya abuse of such power kua ndogo na kwa jinsi navyojua wanatanzania wenzangu tulivyo waoga acha tutawaliwe tu hivi hivi.
 
Hii si amini kama ni tukio LA kweli, hii ni bongo muvi imetengenezwa kuwatoa wananchi kwenye issue ya wizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa na ccm, pili lengo hapa ni kutengeneza picha kwamba "jamaa ametekwa" Na watu wa chadema, maana imetajwa namba ya gari kuwa inamrikiwa na Deo Ninja(mchaga) kwa akili ndogo za wabongo, hii itausishwa na chadema,
ACT inatumiwa tu na ccm,
 
Aibu ya nini wakati mi-ananchi imekaa na inakenua menu kujadili Simba na Yanga? Tena hii ni vizuri ifanyike mara kwa mara pengine wananchi wataamka.
Kabisa kaka,tena wangeanza na watu wa familia yako ingekuwa poa sana maana naamini utakuwa kiongozi wa wananchi watakaoamka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…