green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
mchawiYaan kama nimeiba hii fedha ningejitajidi niitumie na huyu bwana na familia yake Ili twende sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mchawiYaan kama nimeiba hii fedha ningejitajidi niitumie na huyu bwana na familia yake Ili twende sawa
Jinga sana wewe nimecheka kifala sana..Sije akakutwa ya yuke jamaa ya muda wowote ule akikaa imo
Hawa wanao tangaza wanafanya kweli mbwa HawaKuna mdau aliiba bata bukini huku mtaani..Mzee katangaza baada ya siku7 hawakupatikana,Kijana wa miaka 20 tu akavimba tumbo akafa..
Sijaona wapi palipoandikwa ni sheikh alafu mbona naona limekaa kama tangazo la biashara.
Jichanganye sasa uone [emoji1]Mashekhe/wachungaji/makasisi wa zamani ndo walikuwa wakisema kitu lazima muhusika atekelezeee
Wa siku hizi dotcom, tanapishana nao kwenye vificho vingi sanaa hadi unajiuliza maswali yasiyokuwa na majibu
Hahahaha yule jamaa aliteseka sanaJinga sana wewe nimecheka kifala sana..
Hahah aliteseka sana akisinzia kidogo imoo!Hahahaha yule jamaa aliteseka sana
Alafu mtu kama huyu anayedai simu yake iliyoibiwa kwa nguvu na mikwara yote, utakuta anatembea na mke wa mtu!!Mambo ya kawaida hayo, hatuna muda wa kwenda sijui polisi au Cyber crime, ambako tunajua usumbufu wake so hii ni clear and faster kupata mali yako.
Sheikh rudi shule kwanza kasome elimu dunia,huu mwandiko wa lapili C,achana na visasi[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo chini, UmeuaaaaKuna muhuni aliiba amplifier ya msikitini, sijui kilimkuta nini ila baada siku 3 asubuhi amplifier imetelekwezwa kwenye mlango wa msikiti halafu juu kuna kikaratasi cha kuomba radhi kimeandikwa "nisamehe mimi, nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana"