Taarifa ya ufaulu wa wanafunzi wa kidato cha nne katika shule za kanisa katoliki Tanzania

Big up Roman Catholic
 
She gani ya kanisa warming wamechangishwa kujenga?
Zaidi ya hayo shule nyingi za kanisa zinaendeshwa na mashirika mbalimbali,labda Seminary ndio waamini wanachangia huendeshaji wake tena sio kwa asilimia zote
 
She gani ya kanisa warming wamechangishwa kujenga?

Zaidi ya hayo shule nyingi za kanisa zinaendeshwa na mashirika mbalimbali,labda Seminary ndio waamini wanachangia huendeshaji wake tena sio kwa asilimia zote
Sahihi kabisa mkuu
 
Kanisa Takatifu la mitume!, Acha kabisa, Wataalam sana hao pipo.
 
Nichagulieni shule 3 za girls hapo mwakani mwanangu aende mojawapo.....kutoa st Francis maana inatakwa na kila mtu..
Mnichagulie yenye mazingira mazuri...
Hali ya hewa nzuri
Na inayofikika kwa urahisi
 
Mimi mkatoliki...hapo nyuma shule zilijengwa au huduma za jamii kama hospitali, kufaidia jamii masikini

Lakini sasa hivi hospitali au shule za kanisa gharama ni za moto loh

Wala haziakisi kusaidia masikini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…