Hivi tume za haki ya binadamu zinautambua utani??..Naona kama huyu ndugu hatendewi sana, na ni kama vile inaelekea katika hali ya kubaguliwa na kinyanyaswa kwa rangi yake na asili yake.
Taasisi za haki za binadamu zitoe angalizo kwa watanzania na wadau wote wa michezo ....waende nalo kwa tahadhari, na ikibidi, watakaoendelea, Tume ya haki za binadamu na utawala Bora iwaite kwa inquiry
Wachezaji wa kiafrika wakiwa addressed kwa race zao tunasema ni ubaguziHivi tume za haki ya bunadamu zinautambua utani??..
Mlete Mzungu................Naona kama huyu ndugu hatendewi sawa, na ni kama vile inaelekea katika hali ya kubaguliwa na kinyanyaswa kwa rangi yake na asili yake.
Taasisi za haki za binadamu zitoe angalizo kwa watanzania na wadau wote wa michezo ....waende nalo kwa tahadhari, na ikibidi, watakaoendelea, Tume ya haki za binadamu na utawala Bora iwaite kwa inquiry
Labda tuulize mzungu ni tusi au ? Je siku ya Utambulisho walimtajaje? Je ni mzungu au siyi mzungu? Kuhusu waafrika nje wakiitwa african siyo tusi kwa sababu ni waafrika kweli labda wakiitwa tofauti kama blacks sawa.Mfano mimi nikiitwa Mtanzania siyo sioni kosa.Naona kama huyu ndugu hatendewi sawa, na ni kama vile inaelekea katika hali ya kubaguliwa na kinyanyaswa kwa rangi yake na asili yake.
Taasisi za haki za binadamu zitoe angalizo kwa watanzania na wadau wote wa michezo ....waende nalo kwa tahadhari, na ikibidi, watakaoendelea, Tume ya haki za binadamu na utawala Bora iwaite kwa inquiry
Ni utani mkuu.. huo ni utsmaduni wa watanzania na hasa simba na yanga ni watani wa jadi hakuna offence alofanyiwa uwanjani wote tunajua hilo mkuu..Huo sio utani, ni ukiukaji wa haki za binadamu
Mtu mwenye asili ya ulaya mashariki au magharibi au Marekani kaskazini.Kwan mkuu mzungu ni mtu gan? Tuanzie hapo!
Muanze kwanza na msemaji wenu Ahmed Ali! Yeye ndiye mbaguzi namba 1 bila shaka. Kwa sababu alimtambulisha kama Mzungu ile siku ya simba day!Huo sio utani, ni ukiukaji wa haki za binadamu
Ungana Naye tuNaona kama huyu ndugu hatendewi sawa, na ni kama vile inaelekea katika hali ya kubaguliwa na kinyanyaswa kwa rangi yake na asili yake.
Taasisi za haki za binadamu zitoe angalizo kwa watanzania na wadau wote wa michezo ....waende nalo kwa tahadhari, na ikibidi, watakaoendelea, Tume ya haki za binadamu na utawala Bora iwaite kwa inquiry