selemangrace346
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 463
- 634
NIC nawachukia sana hawa jamaa sijui hata nlijichanganya vipi kujiunga na hii taasisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NMB. Wanakuzungusha halafu mwishoni wanakuuliza, "Are you still there?"
[emoji38][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38]jamaniVodacom sielewi hawapokeagi au hata simu sijui kama wanayo
NECTA, UTUMISHI WA UMMA HQ,SECRETARIAT YA AJIRA,UTUMISHI WA UMMA HQX1000,Kuna
1. COSOTA
2. TRA
3........
Mkuu kwa COSOTA kwakweli umewasingizia ama tatizo limekupata wewe peke yako, ama labda iwe ulipiga nje ya muda wa kazi. Jamaa wanajitahidi sana kupokea simu sanaaaa mimi huwa nawasiliana nao mara kwa mara shida ni kuwa TTCL namba ikiwa inatumika sometimes hawasemi 'number is busy' inaunga kwenye call waiting hili nimeona hata kwenye namba zao za kawaida.Kuna
1. COSOTA
2. TRA
3........
Hata mimi nimeshangaa wao kutajwa hapa. Wanajitahidi sana hata mimi sijawahi kukutana na hiyo shida ya kutopokea simuMhmm... mbona COSOTA wanapokea simu zangu?
DAWASCO KimaraKuna
1. COSOTA
2. TRA
3........
Hawana njaaBoT huwa inapokeaga simu tena haraka sana...
Tena wanakuelekeza vizuri sana. Hapa kwa COSOTA mwenye mada kasingizia.Hata mimi nimeshangaa wao kutajwa hapa. Wanajitahidi sana hata mimi sijawahi kukutana na hiyo shida ya kutopokea simu
Tena wanakuelekeza vizuri sana. Hapa kwa COSOTA mwenye mada kasingizia.
Magufuli vipi anapokea?Chadema kila nikiwapigia hawapokei kabisa aisee.
Sijui wanadaiwa??
Magufuli vipi anapokea?
Ni kweli. Wanazingua sana hawa jamaa. Namba zao zote wameweka kama mapambo tu.RITA simu wamezima kabisa.