Taasisi za wanawake Iran washinikiza wanawake wawili wanaharakati wasinyongwe

Taasisi za wanawake Iran washinikiza wanawake wawili wanaharakati wasinyongwe

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Taasisi za utetezi wanawake nchini Iran zinashinikiza utawala wa nchi hiyo kutowanyonga wanawake wawili wafungwa wa kisiasa waliopewa hukumu ya kifo hivi karibuni.

Screenshot_20240729-101021_X.jpg
 
"Sentenced to death for advocating women's rights"...????

Haiwezi kuwa sababu pekee tu yawezekana kuna sababu nyingine yenye nguvu zaidi hasa ya kisiasa.
 
Halafu eti hao mahayatollah wahuni wanadai eti serikali yao ni ya kidini sasa serikali gani ya kidini inafanya ukatili hivyo.

Iran ni moja ya mataifa 3 yanayoongoza kwa kunyonga watu duniani, hiyo ni moja ya sifa iliyonayo serikali hiyo ya "kidini" ya Iran.
 
Wakishawanyonga hawamini kama watapokelewa na Allah...ata ufanyeje mwanamke wa Kiislam anaeishi maisha magumu kiasi gani hapa Tanzania awezi kukubali kwenda kuishi Iran.
 
Halafu eti hao mahayatollah wahuni wanadai eti serikali yao ni ya kidini sasa serikali gani ya kidini inafanya ukatili hivyo.

Iran ni moja ya mataifa 3 yanayoongoza kwa kunyonga watu duniani, hiyo ni moja ya sifa iliyonayo serikali hiyo ya "kidini" ya Iran.
Hivi Iran na Hamas urafiki wao unatokana na nn?
 
Yawezekana tujafanye mfananisho na kwetu

Hairuhusiwi mwanamke kuwa kiongozi

Kwa Imani ya kiislam

Rejea kwa Tanzania huo uhuru umeleta nini
Mtu yeyote anaweza kuwa kiongozi maeneo mengi wanaume ndio wamekuwa viongozi lakini ndio wameongoza kuvurunda mambo na matokeo yake mambo kuwa ya hovyo kupindukia.

Kama waarabu wanaona wanaume ndio wanafaa kuwa viongozi hayo ni ya kwao kwani watu wote sio waarabu.
 
Back
Top Bottom