Hawa wana chama chao....sasa sijui ni wachache ndio wanafaidi au wote.....Hivi uwa wanapewa hata pesa ya likizo?
Mi nadhani Serikali ianzishe hata posho za mitihani ya mihula kufungia shule, na kusaishia hio mitihani,wapate trans&Comm allowance kimtindo.
Hawalipi Kodi kabisa au Kuna unafuu wanapewa? Serikali janja,inawapa unafuu sehemu ambayo wanajua hawezi itumia kwa kipato Chao.Hawa wana chama chao....sasa sijui ni wachache ndio wanafaidi au wote.....
Kuna mwalimu nimemuomba nilete gari kwa jina lake tupige hela sababu wao hawalipi kodi...sasa namuambia fuatilia...anakuwa kiumbe mzito......
Sina hakika sana ndio nimemuomba afatilie.....Hawalipi Kodi kabisa au Kuna unafuu wanapewa? Serikali janja,inawapa unafuu sehemu ambayo wanajua hawezi itumia kwa kipato Chao.
Kipi hapo sijaelewa?.Umeelewa mada lakini?
Yaani POLISI umewasahau, hasa traffic?Za asubuhi....
Moja kwa moja kwenye mada.
1.TRA
2.MAHAKAMA
3.TAASISI ZA UJENZI BARABARA KAMA TARURA N.K
4.TBS
5.MALIASILI
6.HOSPITAL
7.Ongezea zingine
Kweli geshi la polishi mmelisahau?
Sema ni maisha yako, usi generalize. Watanzania wako 60m roughly. Wafanya kazi wa halmshauri na serikali kuu ambao ndio wala rushwa wakubwa ni 500,000 tu roughly.Kimsingi hayo ndiyo maisha yetu sisi waTanzania........kinyume na hapo ni uongo na unafiki tu.
Kama baba yako alikuwa mla rushwa, akawa anakutuma kuchukua. Wewe kama mwanae ni ngumu sana kuona rushwa ni tatizo, kwakuwa imekulea na pengine umeona faida yake.Mwafrika na rushwa ni tako na chupi
TAKUKURUZa asubuhi....
Moja kwa moja kwenye mada.
1.TRA
2.MAHAKAMA
3.TAASISI ZA UJENZI BARABARA KAMA TARURA N.K
4.TBS
5.MALIASILI
6.HOSPITAL
7.Ongezea zingine
Uzuri jamaa kajitetea kuwa hao hajaweka kwenye list kwasababu wao Wana mbingu yao binafsi katika hili...hakuna wa kuwakuta.Yaani hao rushwa ndio kama pumzi yao.
Sahihi kabisaKama baba yako alikuwa mla rushwa, akawa anakutuma kuchukua. Wewe kama mwanae ni ngumu sana kuona rushwa ni tatizo, kwakuwa imekulea na pengine umeona faida yake.
Mleta uzi inabidi kwanza ujue Mahakama sio Taasisi na wala Mahakama haipo chini ya serikali.Za asubuhi....
Moja kwa moja kwenye mada.
1.TRA
2.MAHAKAMA
3.TAASISI ZA UJENZI BARABARA KAMA TARURA N.K
4.TBS
5.MALIASILI
6.HOSPITAL
7.Ongezea zingine
Dawasa ni vigumu kuiba gunia la dolaWakuu Dawasa penyewe hamna hela au
Mkuu mbona mifano mingi tu au umesahau hata kibosile wa njiwa wa tz??Hela kubwa unabebekaje
Ila vi hela hela vya hapa na pale vinapatikanaDawasa ni vigumu kuiba gunia la dola
Hao siyo habari kuwataja, nu sawa na kusema gari ina matairi. Siyo habari.Kweli geshi la polishi mmelisahau?
Nyie si ndio mnatumbuliwa kila siku kwa upigaji wa mbegu na mbolea za ruzuku?Na sisi ambao tupo chini ya wizara ya kilimo na mifugo wakuu