Tabia 25 za watu wenye IQ kubwa

Sawa
 
Watu wenye low IQ za mwisho kutoka mwisho.
1.wanapenda rangi za kijani.
2.Vijana wana umri wa wasira.
3.wanapenda magoli ya mama ila wamekasirika kusikia trump kazuia msaada.
4.sio wa pwekwe kwa kujipnedekeza na kubebana kwenye malori.
5.wakali kama pilipili ziadi ya polisi.
6.wanatumia makalio na tumbo kufikiri
 
Watu wenye iq kubwa hawana uwezo mkubwa wa kuongeza,sio wanasiasa kiujumla,na wanamawazo ambayo hutofautiana na jumuiya au jamii nzima,mara nyingi mawazo yao Huwa yanapingwa.
 
Labda tungekubaliana kwanza kufa harakai miaka mingapi!
 
IQ inatambuliwa kwa kutenda, si kwa kuongea au kushauri.
Leo hii tunasema CEO wa SpaceX ana IQ kubwa, kwa sababu tunaona anachokifanya angani kwa kurusha roketi n.k

Hizi IQ za taralila, hazitambuliki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…