Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Eeh!!!Mh. Mwenyekiti TUNDU LISU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh!!!Mh. Mwenyekiti TUNDU LISU
Maybe...Nasikia wanawake wana vitu fulani kwenye ubongo vinawafanya wawe na IQ kubwa lakini hawajui kuitumia hio IQ
Yeah for sure, na namba 8 je12: Sikubaliani nayo - Wanapenda kuwa wasikilizaji zaidi na kujisocialize kidogo tu
18: Sikubaliani nayo - Hawavutiwi na sanaa ya muziki bali wanavutiwa na mambo yote ya kiubunifu - originality
Error:InvalidNa wengine mara nyingi huonyesha tabia fulani zinazowatofautisha na watu wenye IQ kubwa.
For surehawaendagi na fasheni.
170+Basi wewe huna IQ kubwa
HeheheSi unaona kwa mifano, baba levo na mwinjaku wanakelele, sasa wachukue waambie njoon tuongelee "sustainable energy in Tanzania" hakuna hata mmoja atafungua mdomo ila ukiuliza leo zuchu kala nini utaona yatakavyokupigia kelele mpaka masikio yaume, ukiyarudisha tena kwenye digital currency na maendeleo yake Tanzania unayafunga mdomo 😂😂😂. Juz kuna jamaa mtaani ananielekeza namna Hard Drive ya computer ilivyomuhimu Yan kwa confidence kabisa anasema ile ndio brain ya computer nikawa naitikia tu, asijue kwamba hiyo ni area yangu ya expertise. Uswahilini raha sana kama unajua kusikiliza..
WhyError:Invalid
What170+
Umeona eeBasi wewe huna IQ kubwa
YeahUmeona ee
Wow jamani kumbe na mimi nina IQ kubwa, maana sifa zote hizo ninazo. Ila mbona darasani sina akili? I don't understand
IQ isn't about kufaulu class ni kweli mkuuujinius sio kuwa vizuri darasani ,kumbuka majinias wengi hawakupata elimu kubwa ya darasani mfano,nikolai tesla,charles page ,james watt .nb ujinius sio kuwa na uwezo wa darasani ila unajumuisha vitu vyote
Anaweza kuka mbele ya halaiki hapigi jata pasi so wanajiaminiWw huna akili utakuwa kilaza flani hivi