Tabia 25 za watu wenye IQ kubwa

12: Sikubaliani nayo - Wanapenda kuwa wasikilizaji zaidi na kujisocialize kidogo tu
18: Sikubaliani nayo - Hawavutiwi na sanaa ya muziki bali wanavutiwa na mambo yote ya kiubunifu - originality
Yeah for sure, na namba 8 je
 
Hehehe
 
ujinius sio kuwa vizuri darasani ,kumbuka majinias wengi hawakupata elimu kubwa ya darasani mfano,nikolai tesla,charles page ,james watt .nb ujinius sio kuwa na uwezo wa darasani ila unajumuisha vitu vyote
 
ujinius sio kuwa vizuri darasani ,kumbuka majinias wengi hawakupata elimu kubwa ya darasani mfano,nikolai tesla,charles page ,james watt .nb ujinius sio kuwa na uwezo wa darasani ila unajumuisha vitu vyote
IQ isn't about kufaulu class ni kweli mkuu
 
Wanaongoza kwa kuteswa na mapenzi, hawchelewi kujitoa mhanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…