Tabia 7 zinaonesha kuwa wewe ni mtu mwe IQ ya juu

Tabia 7 zinaonesha kuwa wewe ni mtu mwe IQ ya juu

Tabia saba zinaonesha kuwa Wewe ni mtu mwe IQ ya juu.
1.Kuongea mwenyewe

2.Kukesha usiku

3.Kuota ndoto za mchana.

4.Kuuliza maswali mengi

5.Kufanya fujo na ukafanikiwa.

6.Kuwa mpweke.

7.Kusoma vitabu.


NOTE:ivi vitu ukiwa unavifanya kwenye jamii yetu, kwa mtazamo wa watu utaonekana we umepagawa, ila hizo ni tabia za watu wenye IQ kubwa zaidi duniani ie:Robert Einstein, Charles Darwin
Basi na tutambuane humu jukwaani.
 
Tabia saba zinaonesha kuwa Wewe ni mtu mwe IQ ya juu.
1.Kuongea mwenyewe

2.Kukesha usiku

3.Kuota ndoto za mchana.

4.Kuuliza maswali mengi

5.Kufanya fujo na ukafanikiwa.

6.Kuwa mpweke.

7.Kusoma vitabu.


NOTE:ivi vitu ukiwa unavifanya kwenye jamii yetu, kwa mtazamo wa watu utaonekana we umepagawa, ila hizo ni tabia za watu wenye IQ kubwa zaidi duniani ie:Robert Einstein, Charles Darwin
1. Kiukweli hii bado haijanikuta
2. Mwisho juzi nilikuwa sijalala siku mbili, lakini nahisi nina Insomnia
3. Mara moja moja inanikuta
4. Kawaida yangu, huwa sipendi kuwa na mashaka
5. Niliwahi kukoswa koswa chupa ya bia
6. Hii ndio kawaida yangu
7. Hapa sasa ndio huwa nipo.
Lakini bado kwa upande wangu sidhani kama nina kigezo cha kuwa na IQ kubwa.
 
Back
Top Bottom