[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Nitaongea na babu vizuri anisaidie kipande hiyo maana nimeshashindwaKachangamshe mizimu utakaa nasi siku moja..[emoji12]
π€£π€£π€£Ipo siku utamubahatisha tu.Nikiingia kwenye usafiri wa umma huwa nakua busy na simu. Yani hata kama unaniongelesha utajushtukia tu mwenyewe utaacha.
Sipendi mazoea kwenye gari. Natamanigi nikae na mkaka mzuri anaevutia ila haijawahi tokea [emoji2955][emoji2955][emoji2955]
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
π Tufungue kanisa we msoma neno nitahusika na sadaka mtumishi.Nichangie basi nikanunue.
[emoji38]Twende ulaya hakuna zogo kule Wala kubishana na makonda
Ndio unawapenda?? ππππWanaokula Mayai ya kuchemsha kwny bus halafu hawafungui madirisha wkt wakitoa Ile hewa ya ukaa.
Usilaze damu sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Nitaongea na babu vizuri anisaidie kipande hiyo maana nimeshashindwa
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
ngosha wa mwanza tunasemwa hukuSipendi kukaa seat ya Karibu na wasukuma wa kijijini au wamasai...ni wasumbufu sana kwenye kuongea ongea hovyo na kupiga mziki bila sababu ya msingi.wasukuma na wamasai mnisamehe tu
Dah pele lilipata mkunaji.Unanikumbusha siku naenda zangu Iringa nikapanda basi fulani hivi old kuungia kwa seat yangu nikakutana na mdada anajazia kalio la uhakika ila sura ya kawaida
Nikammsalimia then nikalopoka "aise afadhari hata nimekukuta wewe walau safari yangu itakuwa nzuri"
Akatabasamu na kuniuliza kama vile hajanisikia eti umesema..!??
Nikarudia maneno yale yale
Akacheka na kuniuliza kwanini unadhani safari yako itakuwa nzuri?
Nikamjibu nimekaa karibu na dada mzuri [emoji3]
Unajua kiliendelea nini?
Nilijilia vyangu mpaka kesho yake ndo tukaachana
Mbona kama unanishtaki aiseh...ngosha wa mwanza tunasemwa huku
Sipendi kukaa seat ya Karibu na wasukuma wa kijijini au wamasai...ni wasumbufu sana kwenye kuongea ongea hovyo na kupiga mziki bila sababu ya msingi.wasukuma na wamasai mnisamehe tu
Hii ya mziki nayo inakera sana.Sipendi kukaa seat ya Karibu na wasukuma wa kijijini au wamasai...ni wasumbufu sana kwenye kuongea ongea hovyo na kupiga mziki bila sababu ya msingi.wasukuma na wamasai mnisamehe tu
Kuna siku nilipanda bus na mkaka mzuri jamani..halafu haongei sana mbona Safari ilikuwa fupiNikiingia kwenye usafiri wa umma huwa nakua busy na simu. Yani hata kama unaniongelesha utajushtukia tu mwenyewe utaacha.
Sipendi mazoea kwenye gari. Natamanigi nikae na mkaka mzuri anaevutia ila haijawahi tokea [emoji2955][emoji2955][emoji2955]
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Usikute ni mimi[emoji1787]Kuna siku nilipanda bus na mkaka mzuri jamani..halafu haongei sana mbona Safari ilikuwa fupi
Kuna mdada nilikaa nae kwenye bus uwiii jamani msukuma yule alijua kunikera na ile miziki yake..nilitamani kushuka nitembee kwa miguu hapo ndo kwanza tulikuwa tunatoka maeneo ya ubungo..nusu nimzabue makonziHii ya mziki nayo inakera sana.
Mwingine sijui ndio ushamba wa kumiliki smartphone [emoji849],niliwahi panda na dada Yaani ameweka mziki kwenye simu unapiga kelele daladala nzima,,na yupo busy anachezesha na kichwa.
Ka nshomile hakoKuna kamoja kalinitapikia Kuanzia mbezi hadi mutukula.
Yaani kanatapika alafu kanaagiza tena mavitu barabarani.
kakilala kakiamka " Baba tumeshafika Bukoba?' wakati tuko mdaula
Kama ni wewe hongera sana mwamba.sasa kile kiredio kilichokuwa kinaongea sana ndo mimiπ€£π€£π€£Usikute ni mimi[emoji1787]