Tabia gani hupendi au unapenda ukiwa safarini?

Napenda kusikiliza mziki huku nikicheza game kwa simu.
Sipendi kula kula hovyo. Sana sana huwa ni biskuti na maji + muhindi wa kuchoma.
 
1. Kama naendesha gari basi huwa sipendi kutembea mwendo mdogo, kufunga vioo

2. Kama ni usafiri wa basi, treni, boti, meli, ndege huwa sipendi kukaa siti moja na mtu yuko na smell weird, anakula kula hovyo, anauliza uliza maswali au kuongea sana...
 
Sitasahau siku niliyokata tiket siti ya katikati nyuma kabisa usawa wa korido nilikua wa mwisho kuingia ndan ya bus, nilikuta wamama wa 4 wamebanana hatari. asee niliishia kucheka tu, Siti za watu 5 wamekaa watu 4
🤣🤣🤣 unatamani hata kurudishiwa nauli.
 
Kila nikipanda gari lazima nikae na mwanaume mwenzangu na akiwa mwanamke lazima awe mmama au mzee. Nakereka😅

Sipendi shobo wala stori na mtu nikiwa kwenye safari kila mtu ajue yake
Siku moja moja omba wakuweke na watu tofauti na hao.
 
Kuna wengine hua wanabahatika wakiwa kwenye usafiri hivyo ni kutest tu Huenda bahati ni yako siku hiyo.
 
Huwa napenda kukaa siti ya dirishani, napenda sanaaaa. Yani ikotokea siku nimepanda kwenye basi alafu sijakaa dirishani kwa kweli huwa makosa amani kbs, sioni Raha ya safari.
Huu ugonjwa ni asilimia kubwa ya abiria wa kwanza Mimi
 
Hii imekaa vizuri kuepuka kujulikana.
 
Napenda kusikiliza mziki huku nikicheza game kwa simu.
Sipendi kula kula hovyo. Sana sana huwa ni biskuti na maji + muhindi wa kuchoma.
Kweli hata mimi kura kwenye Safari sijajaliwa kabisa
 
1. Kama naendesha gari basi huwa sipendi kutembea mwendo mdogo, kufunga vioo

2. Kama ni usafiri wa basi, treni, boti, meli, ndege huwa sipendi kukaa siti moja na mtu yuko na smell weird, anakula kula hovyo, anauliza uliza maswali au kuongea sana...
Imekaa vyema sana hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…