Tabia gani ulishindwa kuacha ukiwa shuleni?

Tabia gani ulishindwa kuacha ukiwa shuleni?

nilikuwa mtaalamu wa makungu bwanah...mpaka mdomo unakuwa mwekunduuuuuu
 
Habari yako Thad!!
Bila shaka ni wewe uliyechangia kuungua kwa lile bweni!!![emoji4] [emoji4] [emoji4]
Akuuu...sikuwahi kupata ajali kubwa sana,japo ndogo ndogo zilinikumba sana tu,lakini sikukoma kupika.
 
me nlikuwa mchesh san shul so kila mtu alikuwa anapenda akae jiran namm akij ,so mwalim akij kutak majin ya wapig kelel me lazm niandikwe hata kma hiy cku ckupig
Dyu tunafanana pia me kusoma o level nlikuwa nasoma kwa kuulizan maswali tyu na rafiki angu afu mathematics pale utakaponiletea swali limekushinda ndo tuje kutana kwa pepaaa

Siku moja montress aliniandka mpiga Kelele kumbe sijaenda shule
 
Ckubali kuchapwa mpk nijitete kwanza [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Back
Top Bottom