Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona kama twafananaMimi kunywa ulanzi
Hivi upupu unawasha hata kama mtu amevaa nguo?Kumwekea mwalimu upupu kwenye kiti chake...
Naona kama twafanana
Ahaa niko std 5 nikaweka kioo chini kuchungulia dada wa std 6 alininasa kibao yule mhmm asee,hii aikua tabia yangu sema nilifata mkumbo siku hiyo ndo ukawa mwisho.Kutupia ka kioo chini ya sketi za wadada