Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huu uchakaramu umeuanza lini??Upole
UPI Huo babu asprinSasa huu uchakaramu umeuanza lini??
Kama huu unaongea na babu kabla hujamwamkia...UPI Huo babu asprin
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kama huu unaongea na babu kabla hujamwamkia...
Hivi nikikutongoza utanilaumu??
Kwahiyo kwa kifupi kabisa unataka kunambia ndo ushanipiga chini hata kabla sijaanza???[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Aaaah babu untaka niwe kipofu were wewe
Nikikukubali hiyo bustan ya eden siitakuwa imebadilika rangi teh teh maua ya pink yatakuwa yakijani[emoji85] [emoji85]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] naogopa kuwa kipofu .....pili nguvu huna wewe tenaKwahiyo kwa kifupi kabisa unataka kunambia ndo ushanipiga chini hata kabla sijaanza???
primary or secondary
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] hiyo si laana kbsaa
A see hiyo ya katikati watoto wako vizurii duuu I wish ningekuwa me[emoji39] [emoji39] [emoji8]
Unatamani wanawake wenzio??? Mamaaaaa....!!A see hiyo ya katikati watoto wako vizurii duuu I wish ningekuwa me[emoji39] [emoji39] [emoji8]
Wewe huwoni wanavyooteleza km bamia mchuziUnatamani wanawake wenzio??? Mamaaaaa....!!