Tabia gani za walevi huwa zinakushangaza?

Tabia gani za walevi huwa zinakushangaza?

Huwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...

Nini hutokea?

Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?

Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
Kuna wanywaji na walevi ukiona mtu kanywa na kuanza kufanya hayo unayo yaeleza Basi jua haji heshimu na haeshimu izo pombe za kijingaaa
 
Huwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...

Nini hutokea?

Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?

Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
Mimi nikilewa nachapa maombi mazito na kushusha injili Kali bar 🍺 🍻 hadi watu wanaanguka mapepo na wengine wanaokoka kabisa.
 
Huwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...

Nini hutokea?

Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?

Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
huwa ni wakarimu mno, hasa kwa watoto katika kujitolea kwa kuwazawadia watoto na lakini pia kwenye kuzungusha round mbili tatu kama tulivyo, ni jambo jepesi mno aise ..

Inashangaza sana kwakweli 🐒
 
Back
Top Bottom