Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu anakuwa mwema kwa mtaa mzima. Watoto wote wananunuliwa peremende😃😄😀huwa ni wakarimu mno, hasa kwa watoto katika kujitolea kuwazawadia na lakini pia kwenye kuzungusha round mbili tatu kama tulivyo, ni jambo jepesi mno aise ..
Inashangaza sana kwakweli 🐒
Ndio maana omba omba wanapatikana bar zaidi ya nyumba za ibada , kwa sababu wanywa pombe huwa wakarimu sana.huwa ni wakarimu mno, hasa kwa watoto katika kujitolea kwa kuwazawadia watoto na lakini pia kwenye kuzungusha round mbili tatu kama tulivyo, ni jambo jepesi mno aise ..
Inashangaza sana kwakweli 🐒
Huyo anakunywa hii , ndio maana analia kukumbuka wahengaKuna huyo mmoja akilewa anaanza kulia tena kwa nguvu...
Akidai amewakumbuka ndugu zake waliofariki...
Watu watabia hizi wapo kila mahala wala si tabia za walevi bali za mtu binafsi tu😁😁wAkipewa bill wanakaa
Huwa nawahurumia sana mabinti wa bar
Mkuu mbona unawatetea sana walevi!Watu watabia hizi wapo kila mahala wala si tabia za walevi bali za mtu binafsi tu😁😁
Good principal.Kanuni yangu ni kulewa nyumbani mkuu , mfano nikitoka natoka na pesa ya malengo ya kinywaji tu na chakula.
Kutokukubali kwamba ni mleviHuwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...
Nini hutokea?
Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?
Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
KabisaHii ya kusema tunawaonea wivu nayo ni tabia Yao inayoshangaza😃😄😀
Kutusema sie tusikunywa kuwa tunapenda mbususu lakini wao wakimaliza kulewa wanataka mbususu🤣🤣🤣🤣Huwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...
Nini hutokea?
Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?
Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
In wine (alcohol) there is Truth.huwa ni wakarimu mno, hasa kwa watoto katika kujitolea kwa kuwazawadia watoto na lakini pia kwenye kuzungusha round mbili tatu kama tulivyo, ni jambo jepesi mno aise ..
Inashangaza sana kwakweli 🐒
Wanywa soda na juice 🥤 mna shida Sana..Pombe ikitoka kichwani ndiyo mtu anakumbuka ofa katoa kwa hela ya mbolea.
Walevi wana ubinadamu na utu kuliko walokole na wachamunguHuwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...
Nini hutokea?
Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?
Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
wapi mbege mangi😂Huyo anakunywa hii , ndio maana analia kukumbuka wahengaView attachment 3175300
wakati anapanga namna ya kumpiga beduli nduli idiamin😊
Mkuu mbege ilishapanda ndege sio hayo mataputapu mkuu😁😁😁wapi mbege mangi😂