Bora wewe umenunulia wana.mm nimeingia bar na laki na hamsini.nikaagoza bia mhududumu nae akaganda kwa meza yangu nikasema isiwe kesi nawe chukua bia mbili mikausho mikali ikaendelea tukawa tunalamba ugimbi nikimaliza nae namwagizia.mwisho wa siku yule kaunta baby nae kajongea kuona mwenzie anapata malisho nae nokamnunulia.shida nikilewa zinashuka chini.lile shangazi la kaunta ni chupi saizi 42 zigo la kwenda so kuna kamziki kakawa kanapiga likawa linacheza nami nimelewa nimesimama nilipe colabo kama mondi na yope wacha lifokoe laki.mpaka naondoka sijui kitu matokeo asbh nliyapata nlipoamka sina ata mia ya mguu wa kuku