Tabia gani za walevi huwa zinakushangaza?

Tabia gani za walevi huwa zinakushangaza?

Bora wewe umenunulia wana.mm nimeingia bar na laki na hamsini.nikaagoza bia mhududumu nae akaganda kwa meza yangu nikasema isiwe kesi nawe chukua bia mbili mikausho mikali ikaendelea tukawa tunalamba ugimbi nikimaliza nae namwagizia.mwisho wa siku yule kaunta baby nae kajongea kuona mwenzie anapata malisho nae nokamnunulia.shida nikilewa zinashuka chini.lile shangazi la kaunta ni chupi saizi 42 zigo la kwenda so kuna kamziki kakawa kanapiga likawa linacheza nami nimelewa nimesimama nilipe colabo kama mondi na yope wacha lifokoe laki.mpaka naondoka sijui kitu matokeo asbh nliyapata nlipoamka sina ata mia ya mguu wa kuku
Ikawaaje aisee ulilifuata asubuhi
 
Ha ha ha ha ha ha ha walevi ndo tulivyo.na akikwambia sikiliza nikwambie anataka kile atakachosema usapoti hata kama cha uongo.kuna rafiki yangu ni mjeda akilewa naanza kumpa sifa tena kwa sauti wahudumu wasikie.namwambia wee ni kamanda na kongo uliamsha enzi za jk mpaka m23 wakakimbia utasikia weita mpe safari nne kijana.na kongo hajawahi fika
😂😂😂😂
 
Hakuna watu wanapendana kama walevi.kuna mtu tulionana tu day one akiwa kalewa hata sijuo anakaa wapi kujua na mimi natumia akanambia twenzetu.kama masihara nafika kaagoza msosi nae kaagiza tukala.kilichofata mafantomu makubwa ya kvant 4 yakawekwa kwa meza tulikunywa wee baadae kanionyesha kwake kumne ni karibu na pale tulienda kunywa mpaka leo jamaa kawa mshikaji na kwangi huja.walevi ni watu nina zaidi ya miaka kuni na nane nalewa nikiona mlevi namheshimu ni watu na hawana choyo.
Sahihi kabisa. kuna kipindi nilipitia joto la maisha wahuni walikuwa hawaniachi kwenda kula bata tena hoteli za gharama nikabahatika kupata connection ya kazi kupitia vibopa hawa asee mlevi siwezi muona wa hovyo hata siku1.
Kuna jamaa tulikuwa tunamuita Dangote alikuwa kota wa dhahabu yule fala anaweza kuwaua kwa pombe iwe nyama hata kama starehe yako ni mademu jamaa alikuwa hana hiyana. Msela alikufa na ajari ya ajabu kweli wanatoka kwenye mizunguko wakakuta maji yanapita juu ya barabara si wakasemezana na mwenzake maji haya yanapitika kwa gari ndo ukawa mwisho wao.
 
Mke wangu akilewa anaanza kufukua makaburi ntatukanwa hata majanga ya mwaka juzi yatafufuliwa siku hiyo na hapiki nguvu anakua hana nishazoea
Balaaa zaidi kukojolea godolo aisee mtu ana mtoto mchanga kalewa na pempasi hajamvesha katoto kakojoe na yeye aisee godoro langu lina ramani ya dunia mpaka sayari zingine zote.
Siku izi akilewa namvesha mwanangu pempasi yeye analala sakafuni mpaka pombe zimuishe na akakojoe toi ndo apande kwa bed.sitaki maujinga ujinga hayo mimi
 
Mke wangu akilewa anaanza kufukua makaburi ntatukanwa hata majanga ya mwaka juzi yatafufuliwa siku hiyo na hapiki nguvu anakua hana nishazoea
Balaaa zaidi kukojolea godolo aisee mtu ana mtoto mchanga kalewa na pempasi hajamvesha katoto kakojoe na yeye aisee godoro langu lina ramani ya dunia mpaka sayari zingine zote.
Siku izi akilewa namvesha mwanangu pempasi yeye analala sakafuni mpaka pombe zimuishe na akakojoe toi ndo apande kwa bed.sitaki maujinga ujinga hayo mimi
Na Bado mnalewa 😂😂
 
Huwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...

Nini hutokea?

Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?

Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
Mie nikilewaga tu nakumbuka kifo cha marehemu babu naanza kulia kwa sauti
 
Sahihi kabisa. kuna kipindi nilipitia joto la maisha wahuni walikuwa hawaniachi kwenda kula bata tena hoteli za gharama nikabahatika kupata connection ya kazi kupitia vibopa hawa asee mlevi siwezi muona wa hovyo hata siku1.
Kuna jamaa tulikuwa tunamuita Dangote alikuwa kota wa dhahabu yule fala anaweza kuwaua kwa pombe iwe nyama hata kama starehe yako ni mademu jamaa alikuwa hana hiyana. Msela alikufa na ajari ya ajabu kweli wanatoka kwenye mizunguko wakakuta maji yanapita juu ya barabara si wakasemezana na mwenzake maji haya yanapitika kwa gari ndo ukawa mwisho wao.
MAji yameua raia wengi sana hasa kwenye madaraja yasiyo na kingo.kuna mwamba nae alikua kalewa ni bosi wa daradara dereva kamwambia hatuwezi pita hapa maji yamejaa bosi na pombe kamtukana dereva akamwambia niachie siti mwamba akafosi kupita walisombwa na maji.akaua abiria kibao ilikua wilaya ya kwimba mwanza
 
MAji yameua raia wengi sana hasa kwenye madaraja yasiyo na kingo.kuna mwamba nae alikua kalewa ni bosi wa daradara dereva kamwambia hatuwezi pita hapa maji yamejaa bosi na pombe kamtukana dereva akamwambia niachie siti mwamba akafosi kupita walisombwa na maji.akaua abiria kibao ilikua wilaya ya kwimba mwanza
Hatari sana. Kuna siku naenda chato nikapita katoro pale nikapiga kama bia5 hivi halafu nikapanda haice kufika huko mbele konda si kaanza kudai nauli nikamwambia nitakupa nikifika wala hakuwa msumbufu. ile nafika sijui ilikuwaje tu nikamwambia wee maskini mbwa wewe unaniabisha kwa kuniomba nauli nauli yenyewe ni kidogo asee nae akapnic wacha wanichangie kunipiga palichangamka pombe ikaisha nikatimka mbio hadi nikaangukia kwa Traffic. Sitasahau kabisa halafu trafic mwenyewe alikuwa mwanamke sijui angenisadia vipi. Acha tu
 
Hatari sana. Kuna siku naenda chato nikapita katoro pale nikapiga kama bia5 hivi halafu nikapanda haice kufika huko mbele konda si kaanza kudai nauli nikamwambia nitakupa nikifika wala hakuwa msumbufu. ile nafika sijui ilikuwaje tu nikamwambia wee maskini mbwa wewe unaniabisha kwa kuniomba nauli nauli yenyewe ni kidogo asee nae akapnic wacha wanichangie kunipiga palichangamka pombe ikaisha nikatimka mbio hadi nikaangukia kwa Traffic. Sitasahau kabisa halafu trafic mwenyewe alikuwa mwanamke sijui angenisadia vipi. Acha tu
Ha ha ha ha katoro wanga wengi ungeendaa piga bia malendeja bar ushirombo
 
Huwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...

Nini hutokea?

Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?

Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
Kila siku unakutana walevi wageni?
Ikiwa hapana upande wangu hakuna kitakachoningaza kutoka kwa mlevi.
 
Kitu kizuri wanakubali kuwa zinakimbilia chini Yani mtu kunambia mwanaume au mwanaume mlevi sio mzinz Huwa nakataa kabisa labda anakunywa nyumbani
Nyumbani anaweza mbaka dada wa kazi.
Mie nawasiwasi hawa jamaa de liboloz zao hazifanyi kazi mpaka wagonge monde bora mie nankibamia changu kinasimama chenyewe.
 
Back
Top Bottom