Tabia gani za walevi huwa zinakushangaza?

Tabia gani za walevi huwa zinakushangaza?

Mke wangu akilewa anaanza kufukua makaburi ntatukanwa hata majanga ya mwaka juzi yatafufuliwa siku hiyo na hapiki nguvu anakua hana nishazoea
Balaaa zaidi kukojolea godolo aisee mtu ana mtoto mchanga kalewa na pempasi hajamvesha katoto kakojoe na yeye aisee godoro langu lina ramani ya dunia mpaka sayari zingine zote.
Siku izi akilewa namvesha mwanangu pempasi yeye analala sakafuni mpaka pombe zimuishe na akakojoe toi ndo apande kwa bed.sitaki maujinga ujinga hayo mimi
Aisee
 
Watu wasio kunywa pombe majungu mengi sana na akili zao ni za kijinga sana.
Ooh watu wanao lewa wanachezea pesa sisi tunasema sawa tuonyeshe wewe usio lewa ela zako umejenga maghorofa mangapi una anza blah blah nyingi idiots.
 
Huwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...

Nini hutokea?

Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?

Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
Changamoto yako hupendi kilaji tu.Jaribu ukapige mdindifu wa kule kwa wachina Mkimbizi au wa Ifunda au Tanangozi au Isakalilo kule halafu uje utupe majibu.Kama huko kote ni mbali nenda Victoria au Sebuleni kwa mzee Tausi Stereo utapata majawabu tu.
 
Huwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...

Nini hutokea?

Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?

Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
Kupeana deals na kazi kwq urahisi!
 
Tabia ya walevi inayokera...kutematema mate..kukojoa mara kwa mara usiombe mkashare naye choo..nyege za karibu...stori nyingi usiombe ukamsogelea karibu akiwa anapiga stori utalowa uso mzima sio kwa mate anayoyatoa huwa nakereka sana.
 
Back
Top Bottom