Yo majesty
JF-Expert Member
- Sep 13, 2023
- 687
- 1,179
Kuna mzee wangu mmoja yeye akilewa haondoki analala palepale mpaka mama muuza amwamushe na makofi ya kandambili ndo aondoke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwingine anawakumbuka marehemu,anaanza kulia!Huwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...
Nini hutokea?
Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?
Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
Huyo anakua na idea ya lugha ya kiingirishi.Alafu nyie walevi ebu tuambjeni mbona mkilewa kingereza kinatoka tuu
Sawa lakini wakilewa kinatoka kile proper kabisa lakini wakiwa timamu wanakosea tenses na husikii vocabulary KubwaHuyo anakua na idea ya lugha ya kiingirishi.
POmbe hufanya mzunguko wa damu uende poa.so ubongo unapata lishe yake kwa usahihi na perfomance yake huongezeka.ndo maana ukimfuata malaya umelewa anajua kabisa kazi ipo bao dk 50 badala ya 15 sababu ya pombeSawa lakini wakilewa kinatoka kile proper kabisa lakini wakiwa timamu wanakosea tenses na husikii vocabulary Kubwa
Usiniambie mbna nikihitaji kiingereza kwneye presentation wiki ijayo 😀😀Alafu nyie walevi ebu tuambjeni mbona mkilewa kingereza kinatoka tuu
😂😂😂😂Alikuwa anajiona mwamba flani FulaniKuna jamaa yangu alilewa siku moja akaongea maneno haya;
"Mimi ni mfalme wa dunia nina nguvu za kufufua nyoka"
Nilicheka sana, Na hua naendelea kucheka kila kumbukumbu inaponijia, Sijui alikua anawaza nini.
Ila mzabzab😀😀😀😀Nyumbani anaweza mbaka dada wa kazi.
Mie nawasiwasi hawa jamaa de liboloz zao hazifanyi kazi mpaka wagonge monde bora mie nankibamia changu kinasimama chenyewe.
🤣🤣🤣 Gonga savannah aundesparado ila sasa uwe na de libolo readily available 😜Usiniambie mbna nikihitaji kiingereza kwneye presentation wiki ijayo 😀😀
Nimeghairi 😀😀😀🤣🤣🤣 Gonga savannah aundesparado ila sasa uwe na de libolo readily available 😜
Kweli nakwambia ogopa sana hawa wanywa pombe bora sie wazee wakugegeda tena sie hatuwezi telekeza familia. Hawa wa pombe wanalala bar...na wakiridi home wanakojolea kwenye fridge...utasikia mama sabrina hii taa uliyoweka chooni yakisasa kweli ukifungua mlanga inajiwasha yenyewe🤣🤣🤣Ila mzabzab😀😀😀😀
We acha tu 😆😆😂😂😂😂Alikuwa anajiona mwamba flani Fulani
I would have helped u with the presentation unfortunately i have been blessed with a kibamia not de liboloz😜Nimeghairi 😀😀😀
Nimekataaa hiyo 😃😃I would have helped u with the presentation unfortunately i have been blessed with a kibamia not de liboloz😜
U see my dear i speak english well without the influence of alcohol🤣🤣🤣🤣