Wee unakataaga kila kitu changu 🤣🤣🤣Nimekataaa hiyo 😃😃
Nilishakuzoea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee unakataaga kila kitu changu 🤣🤣🤣Nimekataaa hiyo 😃😃
Mafwele unalewaga na Kuteka umwachie Nani ?huwa ni wakarimu mno, hasa kwa watoto katika kujitolea kwa kuwazawadia watoto na lakini pia kwenye kuzungusha round mbili tatu kama tulivyo, ni jambo jepesi mno aise ..
Inashangaza sana kwakweli 🐒
Dr, nyie wavuta shisha na ugoro wachoyo, na mna roho mbaya kichizi, sijui kwanini?Mafwele unalewaga na Kuteka umwachie Nani ?
Pole sana.Mke wangu akilewa anaanza kufukua makaburi ntatukanwa hata majanga ya mwaka juzi yatafufuliwa siku hiyo na hapiki nguvu anakua hana nishazoea
Balaaa zaidi kukojolea godolo aisee mtu ana mtoto mchanga kalewa na pempasi hajamvesha katoto kakojoe na yeye aisee godoro langu lina ramani ya dunia mpaka sayari zingine zote.
Siku izi akilewa namvesha mwanangu pempasi yeye analala sakafuni mpaka pombe zimuishe na akakojoe toi ndo apande kwa bed.sitaki maujinga ujinga hayo mimi
🤣🤣🤣🤣🤣Mimi nikilewa nachapa maombi mazito na kushusha injili Kali bar 🍺 🍻 hadi watu wanaanguka mapepo na wengine wanaokoka kabisa.
Nimecheka kinomaawakati anapanga namna ya kumpiga beduli nduli idiamin😊
Kubadilika miondoko
Wanarudi nyuma badala ya kwenda mbele
Kwahiyo huyo anaitwaje?mnywaji au mlevi?!!Kuna wanywaji na walevi ukiona mtu kanywa na kuanza kufanya hayo unayo yaeleza Basi jua haji heshimu na haeshimu izo pombe za kijingaaa
Watu wanakunywa na Wana drive safe..Kwahiyo huyo anaitwaje?mnywaji au mlevi?!!
Na bado bia tamu 😂Na Bado mnalewa 😂😂
Hivi ni nin kinawavuta huko nyuma au miguu nayo huwa inapata kizunguzungu
Tabia za kushangaza za wasiokunywa unazo?Huwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...
Nini hutokea?
Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?
Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
Tabia hizi hata wasiokunywa wanazoKutongoza wanawake malonya wakijua ni butiful
Kutukana polisi serikali na watu wazito wakijua hawatafanywa lolote
Kujifanya usalama wa taifa au wajeda
Anayekwenda na hela ya mbolea bar huyo alibeba hela kabla hajanywa. Hivyo basi hii ni tabia ya kushangaza ya wasiokunywaPombe ikitoka kichwani ndiyo mtu anakumbuka ofa katoa kwa hela ya mbolea.
Tunaomba comeback😀Tabia za kushangaza za wasiokunywa unazo?