Tabia gani za walevi huwa zinakushangaza?

Tabia gani za walevi huwa zinakushangaza?

huwa ni wakarimu mno, hasa kwa watoto katika kujitolea kwa kuwazawadia watoto na lakini pia kwenye kuzungusha round mbili tatu kama tulivyo, ni jambo jepesi mno aise ..

Inashangaza sana kwakweli 🐒
Mafwele unalewaga na Kuteka umwachie Nani ?
 
Mke wangu akilewa anaanza kufukua makaburi ntatukanwa hata majanga ya mwaka juzi yatafufuliwa siku hiyo na hapiki nguvu anakua hana nishazoea
Balaaa zaidi kukojolea godolo aisee mtu ana mtoto mchanga kalewa na pempasi hajamvesha katoto kakojoe na yeye aisee godoro langu lina ramani ya dunia mpaka sayari zingine zote.
Siku izi akilewa namvesha mwanangu pempasi yeye analala sakafuni mpaka pombe zimuishe na akakojoe toi ndo apande kwa bed.sitaki maujinga ujinga hayo mimi
Pole sana.
 
Kuna jamaa yangu akishalewa halafu watu wamsumbue utamsikia anasema 'Unajua mimi ni mbwaa me mbwaa we endelea tu' hapo ujue pombe imekaa pahala pake ila sio mgomvi ni biti tu.
 
Back
Top Bottom