Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Nakubali mzeeMkuu mbege ilishapanda ndege sio hayo mataputapu mkuu😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubali mzeeMkuu mbege ilishapanda ndege sio hayo mataputapu mkuu😁😁😁
mbona unatusakama walevi, tumekukosea nini?Huwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...
Nini hutokea?
Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?
Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
Mi nikilewa napendaga Sana Kupigana.sio najisifu.ila najitahidi niache hii tabia coz pombe ni stareheKutongoza wanawake malonya wakijua ni butiful
Kutukana polisi serikali na watu wazito wakijua hawatafanywa lolote
Kujifanya usalama wa taifa au wajeda
Ni rahisi kupata dili lolote kwa Mnywaji kuliko kwa mlokole unaye abudu nae.Walevi wana ubinadamu na utu kuliko walokole na wachamungu
Me niko kama wewe ila siku hiyo niliyatimba nikakutana na mkurya mwili nyumba tena meneja wa bar aisee kila nikitupa ngumi nalamba sakafu nikinyanyuka napingwa ndoige nilichezea vitasa.na jamaa alikua hajalewa akawa anajipigia tu.niliugiza majeraha mwezi mzima sina hamu tena na ugomnviMi nikilewa napendaga Sana Kupigana.sio najisifu.ila najitahidi niache hii tabia coz pombe ni starehe
Ha ha ha ha ha ha ha walevi ndo tulivyo.na akikwambia sikiliza nikwambie anataka kile atakachosema usapoti hata kama cha uongo.kuna rafiki yangu ni mjeda akilewa naanza kumpa sifa tena kwa sauti wahudumu wasikie.namwambia wee ni kamanda na kongo uliamsha enzi za jk mpaka m23 wakakimbia utasikia weita mpe safari nne kijana.na kongo hajawahi fikaMimi kuna jamaangu akianza kuniambia sikiliza nikwambie ......Namwambie twende nyumbani asee hapa tyr hamna akili tena. halafu muda huo anakuhakikishia haja lewa na anakuuliza wee unaona nimelewa?
Maisha ni mafupi sana mkuu huwa nafurahi sana kuwa nae uzuri wa walevi ni kampani asee tuliwahi kutafuta kitimoto mwendo kama wa km7 asee daahh hapo tupo wa4 kwenye gari na akati tunarudi kila mtu alipelekwa kwake akisindikizwa na tusi takatifu la QumamakeHa ha ha ha ha ha ha walevi ndo tulivyo.na akikwambia sikiliza nikwambie anataka kile atakachosema usapoti hata kama cha uongo.kuna rafiki yangu ni mjeda akilewa naanza kumpa sifa tena kwa sauti wahudumu wasikie.namwambia wee ni kamanda na kongo uliamsha enzi za jk mpaka m23 wakakimbia utasikia weita mpe safari nne kijana.na kongo hajawahi fika
Hakuna watu wanapendana kama walevi.kuna mtu tulionana tu day one akiwa kalewa hata sijuo anakaa wapi kujua na mimi natumia akanambia twenzetu.kama masihara nafika kaagoza msosi nae kaagiza tukala.kilichofata mafantomu makubwa ya kvant 4 yakawekwa kwa meza tulikunywa wee baadae kanionyesha kwake kumne ni karibu na pale tulienda kunywa mpaka leo jamaa kawa mshikaji na kwangi huja.walevi ni watu nina zaidi ya miaka kuni na nane nalewa nikiona mlevi namheshimu ni watu na hawana choyo.Maisha ni mafupi sana mkuu huwa nafurahi sana kuwa nae uzuri wa walevi ni kampani asee tuliwahi kutafuta kitimoto mwendo kama wa km7 asee daahh hapo tupo wa4 kwenye gari na akati tunarudi kila mtu alipelekwa kwake akisindikizwa na tusi takatifu la Qumamake
Kesho unaamka na majutoMlevi ni mtu mjinga sana japo namimi ni mlevi ila naongea ukweli sisi ni wajinga najuta sana nilitumia 2m siku Moja ndio nikasema huu ni ujinga aisee unanunulia wajinga wenzio pombe kama una akili timamu
Niliamka na chenchichenchi za bukubuku na jero jero kibao 2m yote imeishia bar kuwanunulia pombe wajinga wenzanguKesho unaamka na majuto
😂😂Kabisa ila mtu akiwa mlevi lazima fyuz moja inakata kata kunawakatiHii ya kusema tunawaonea wivu nayo ni tabia Yao inayoshangaza😃😄😀
Bora wewe umenunulia wana.mm nimeingia bar na laki na hamsini.nikaagoza bia mhududumu nae akaganda kwa meza yangu nikasema isiwe kesi nawe chukua bia mbili mikausho mikali ikaendelea tukawa tunalamba ugimbi nikimaliza nae namwagizia.mwisho wa siku yule kaunta baby nae kajongea kuona mwenzie anapata malisho nae nokamnunulia.shida nikilewa zinashuka chini.lile shangazi la kaunta ni chupi saizi 42 zigo la kwenda so kuna kamziki kakawa kanapiga likawa linacheza nami nimelewa nimesimama nilipe colabo kama mondi na yope wacha lifokoe laki.mpaka naondoka sijui kitu matokeo asbh nliyapata nlipoamka sina ata mia ya mguu wa kukuNiliamka na chenchichenchi za bukubuku na jero jero kibao 2m yote imeishia bar kuwanunulia pombe wajinga wenzangu
Kitu kizuri wanakubali kuwa zinakimbilia chini Yani mtu kunambia mwanaume au mwanaume mlevi sio mzinz Huwa nakataa kabisa labda anakunywa nyumbaniKutusema sie tusikunywa kuwa tunapenda mbususu lakini wao wakimaliza kulewa wanataka mbususu🤣🤣🤣🤣
Hahah, huyu ni mwanangu mmoja kabisa hahahaKuna huyo mmoja akilewa anaanza kulia tena kwa nguvu...
Akidai amewakumbuka ndugu zake waliofariki...