Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Hii ya kusema tunawaonea wivu nayo ni tabia Yao inayoshangazaπππAcha kuwaonea wivu walevi mkuu.
Kuna wanywaji na walevi ukiona mtu kanywa na kuanza kufanya hayo unayo yaeleza Basi jua haji heshimu na haeshimu izo pombe za kijingaaaHuwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...
Nini hutokea?
Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?
Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
Bila pesa utakunywaje pombe?πππKujidai tuna pesa!
Sio kujidai wanywa pombe pesa tunazo kweliπ π πKujidai tuna pesa!
Pesa haipo aise!Sio kujidai wanywa pombe pesa tunazo kweliπ π π
Mimi nikilewa nachapa maombi mazito na kushusha injili Kali bar πΊ π» hadi watu wanaanguka mapepo na wengine wanaokoka kabisa.Huwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...
Nini hutokea?
Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?
Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
I mean tuna pesa za kutosha. Hizo za kunywa huwa zipo tuBila pesa utakunywaje pesa?πππ
Tabia Yao nyingine inayonishangaza kufanya vijiwe vyao vya kunywea pope kama Never Miss.
Mwenzao asipotokea ni lazima wamtafute.
Achana na pombe mkuu utakunywa kunywa sumuπππPesa haipo aise!
Pesa za pombe zipo. Ila kuna kafeeling fulani unajiona pesa sio tatizo full kugawa offer kumbe ni pombe ndo inafanya kaziAchana na pombe mkuu utakunywa kunywa sumuπππ
Mi huwa sielewi kile Kichina kikali ambacho huwa nabishana na kaka yangu Mshana Jr hutokea wapi?Kuongea English.
Kanuni yangu ni kulewa nyumbani mkuu , mfano nikitoka natoka na pesa ya malengo ya kinywaji tu na chakula.Pesa za pombe zipo. Ila kuna kafeeling fulani unajiona pesa sio tatizo full kugawa offer kumbe ni pombe ndo inafanya kazi
Pombe ikitoka kichwani ndiyo mtu anakumbuka ofa katoa kwa hela ya mbolea.Pesa za pombe zipo. Ila kuna kafeeling fulani unajiona pesa sio tatizo full kugawa offer kumbe ni pombe ndo inafanya kazi
huwa ni wakarimu mno, hasa kwa watoto katika kujitolea kwa kuwazawadia watoto na lakini pia kwenye kuzungusha round mbili tatu kama tulivyo, ni jambo jepesi mno aise ..Huwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...
Nini hutokea?
Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?
Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
Hii safiKanuni yangu ni kulewa nyumbani mkuu , mfano nikitoka natoka na pesa ya malengo ya kinywaji tu na chakula.