Tabia Hii Ilianza Kama Utani. Manyara Wakapotezea, Mafia Wakapotezea, Sasa Simiyu Nayo Wanataka Kupotezea

Tabia Hii Ilianza Kama Utani. Manyara Wakapotezea, Mafia Wakapotezea, Sasa Simiyu Nayo Wanataka Kupotezea

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Kuna hii tabia inaanza kuota mizizi ya viongozi wa kisiasa kunyanyasa watu kijinsia kisha vyombo vya dola kupotezea baada ya kutumia umasikini wa wahanga kulipa chochote. Kule Manyara naibu Waziri alimtumbukiza kijana chupa ya Coca makalioni na DPP akaingilia kwa juhudi kubwa kufuta kesi.

Huko Mafia nako DED katumia umwamba kwa binti wa kazi kaishia kupoteza kazi lakini hakuna kesi na kesho mkisahau anarudi kazini.

Sasa mpya ni hii ya RC Simiyu kumlawiti mwanafunzi kwenye gari. Taarifa za uchunguzi tayari na zinaonyesha kuwa kila kitu tayari lakini hakuna kesi yeyote hadi sasa na binti eti kaandika barua kuwa hataki kesi tena.

Hii sasa imeanza kuwa tabia na hawa viongozi watawadhalilisha sana wananchi kijinsia maana serikali ya chama cha mapinduzi na polisi wamegundua kuwa Watanzania kwenye hilo maadamu hakulawitiwa mwanafamilia wata kuwa kimya tuu.
 

Attachments

  • 20240611_075312.jpg
    20240611_075312.jpg
    149.8 KB · Views: 5
Katika ukurasa wake wa X(Tweeter zamani) Martin Maranja kaweka copy ya barua ya siri ya Polisi Mwanza kuhusu uchunguzi wa hiyo kesi.
Hata kama wewe ni mbumbumbu utaona kuna ushahidi mzito na niaibu kwa mtuhumiwa kuendelea kuwepo ofisini eti ni mwakilishi wa Rais.
Mwakilishi wa Rais mlawiti? Aibu sana.
 

Attachments

  • 20240611_101838.jpg
    20240611_101838.jpg
    291 KB · Views: 7
  • 20240611_101845.jpg
    20240611_101845.jpg
    256.4 KB · Views: 3
Kuna hii tabia inaanza kuota mizizi ya viongozi wa kisiasa kunyanyasa watu kijinsia kisha vyombo vya dola kupotezea baada ya kutumia umasikini wa wahanga kulipa chochote.
Kule Manyara naibu Waziri alimtumbukiza kijana chupa ya Coca makalioni na DPP akaingilia kwa juhudi kubwa kufuta kesi.
Huko Mafia nako DED katumia umwamba kwa binti wa kazi kaishia kupoteza kazi lakini hakuna kesi na kesho mkisahau anarudi kazini.
Sasa mpya ni hii ya RC Simiyu kumlawiti mwanafunzi kwenye gari.
Taarifa za uchunguzi tayari na zinaonyesha kuwa kila kitu tayari lakini hakuna kesi yeyote hadi sasa na binti eti kaandika barua kuwa hataki kesi tena.
Hii sasa imeanza kuwa tabia na hawa viongozi watawadhalilisha sana wananchi kijinsia maana serikali ya chama cha mapinduzi na polisi wamegundua kuwa Watanzania kwenye hilo maadamu hakulawitiwa mwanafamilia wata kuwa kimya tuu.
Mamlaka za uteuzi zimeshachukua hatua
 
Kwa iyo laki 5 mbona angewapata Malaya kibao uku Sinza kitambaa cheupe wanatoa Matak@ kwa elf 30 tu ..
 
Kuna hii tabia inaanza kuota mizizi ya viongozi wa kisiasa kunyanyasa watu kijinsia kisha vyombo vya dola kupotezea baada ya kutumia umasikini wa wahanga kulipa chochote.
Kule Manyara naibu Waziri alimtumbukiza kijana chupa ya Coca makalioni na DPP akaingilia kwa juhudi kubwa kufuta kesi.
Huko Mafia nako DED katumia umwamba kwa binti wa kazi kaishia kupoteza kazi lakini hakuna kesi na kesho mkisahau anarudi kazini.
Sasa mpya ni hii ya RC Simiyu kumlawiti mwanafunzi kwenye gari.
Taarifa za uchunguzi tayari na zinaonyesha kuwa kila kitu tayari lakini hakuna kesi yeyote hadi sasa na binti eti kaandika barua kuwa hataki kesi tena.
Hii sasa imeanza kuwa tabia na hawa viongozi watawadhalilisha sana wananchi kijinsia maana serikali ya chama cha mapinduzi na polisi wamegundua kuwa Watanzania kwenye hilo maadamu hakulawitiwa mwanafamilia wata kuwa kimya tuu.
Duuu.RC analawiti tena mwanafunzi? kwamba mabinti wengine hawapo mpaka alawiti mtoto mwanafunzi.and how? wanaume wengine machizi.ikigundulika anafaa kunyongwa kabisa.maana RC anatakiwa kuwalinda wananchi wake kama mwenyekiti wa usalama wa mkoa.
 
Katika ukurasa wake wa X(Tweeter zamani) Martin Maranja kaweka copy ya barua ya siri ya Polisi Mwanza kuhusu uchunguzi wa hiyo kesi.
Hata kama wewe ni mbumbumbu utaona kuna ushahidi mzito na niaibu kwa mtuhumiwa kuendelea kuwepo ofisini eti ni mwakilishi wa Rais.
Mwakilishi wa Rais mlawiti? Aibu sana.
Sasa issue imeandikwa SIRI lakini umevujisha sasa itakuaje kisaikolojia kwa huyo binti!
 
Kuna hii tabia inaanza kuota mizizi ya viongozi wa kisiasa kunyanyasa watu kijinsia kisha vyombo vya dola kupotezea baada ya kutumia umasikini wa wahanga kulipa chochote.
Kule Manyara naibu Waziri alimtumbukiza kijana chupa ya Coca makalioni na DPP akaingilia kwa juhudi kubwa kufuta kesi.
Huko Mafia nako DED katumia umwamba kwa binti wa kazi kaishia kupoteza kazi lakini hakuna kesi na kesho mkisahau anarudi kazini.
Sasa mpya ni hii ya RC Simiyu kumlawiti mwanafunzi kwenye gari.
Taarifa za uchunguzi tayari na zinaonyesha kuwa kila kitu tayari lakini hakuna kesi yeyote hadi sasa na binti eti kaandika barua kuwa hataki kesi tena.
Hii sasa imeanza kuwa tabia na hawa viongozi watawadhalilisha sana wananchi kijinsia maana serikali ya chama cha mapinduzi na polisi wamegundua kuwa Watanzania kwenye hilo maadamu hakulawitiwa mwanafamilia wata kuwa kimya tuu.
Rabda kwanza wanpatana halafu anatokea mtu kati!
 
Back
Top Bottom