Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Rabda= labbda? kiswahili cha wapi hiki?Rabda kwanza wanpatana halafu anatokea mtu kati!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rabda= labbda? kiswahili cha wapi hiki?Rabda kwanza wanpatana halafu anatokea mtu kati!
Kuna kila daliliKuna mtu atakuja kubakwa bungeni
Je kama alikuwa mchepuko wake kamlia vingiDuuu.RC analawiti tena mwanafunzi? kwamba mabinti wengine hawapo mpaka alawiti mtoto mwanafunzi.and how? wanaume wengine machizi.ikigundulika anafaa kunyongwa kabisa.maana RC anatakiwa kuwalinda wananchi wake kama mwenyekiti wa usalama wa mkoa.
Hiyo ndiyo ccmnafikiri ilipaswa awe nyuma ya nondo Sijui anafanya nini mpaka sasa
Sibadilishi!Rabda= labbda? kiswahili cha wapi hiki?
hubadilishi au hujui?Sibadilishi!
Watapotezea?Kuna mtu atakuja kubakwa bungeni
Na hana cha kukufanya.Sibadilishi!
SIna habari!Na hana cha kukufanya.
Hujui utajuaje najua!hubadilishi au hujui?
Hili lazima lishatokea.. sema halijasanuka.Kuna mtu atakuja kubakwa bungeni
Noma sana!Na zaidi inaweza kuwa wale covid 19 , maana wakilalamika tuu Tulia anawatuliza kwa kitisho kuwa wako mle kwa hisani tuu
Watu wanavizia misambwanda iliyonona na madem wenye mishepu 😄Hivi kweli unaiaibisha jamuhuri iliyokuamini hivi!!?
Kwanini usichape kazi Kwa bidii Ili kulips fadhila kwa jamhuri iliyokuamini!