Tabia Hii Ilianza Kama Utani. Manyara Wakapotezea, Mafia Wakapotezea, Sasa Simiyu Nayo Wanataka Kupotezea

Tabia Hii Ilianza Kama Utani. Manyara Wakapotezea, Mafia Wakapotezea, Sasa Simiyu Nayo Wanataka Kupotezea

huu ni unyama mashirika ya kutetea haki za binaadamu yaingilie kati badala ya kukemea mambo madogo madogo. huyu anatakiwa apandishwe kizimbani ili iwe fundisho kwa wengine
 
Duuu.RC analawiti tena mwanafunzi? kwamba mabinti wengine hawapo mpaka alawiti mtoto mwanafunzi.and how? wanaume wengine machizi.ikigundulika anafaa kunyongwa kabisa.maana RC anatakiwa kuwalinda wananchi wake kama mwenyekiti wa usalama wa mkoa.
Je kama alikuwa mchepuko wake kamlia vingi
Hao wanajuwana

Ova
 
Hii tabia zamani ilikua maarufu Sana kule Zanzibar lakini naona Zanzibara nao wana uhusudu Sana huu mchezo wa mparange .
 
Kama viongozi wanapatikana kwa kuokoteza,kua na matendo yakishetani wala haishangazi.Kinakachoshangaza ni vyombo vya dola kutokuchujua hatua za kisheria.
 
Back
Top Bottom