Katika ukurasa wake wa X(Tweeter zamani) Martin Maranja kaweka copy ya barua ya siri ya Polisi Mwanza kuhusu uchunguzi wa hiyo kesi.
Hata kama wewe ni mbumbumbu utaona kuna ushahidi mzito na niaibu kwa mtuhumiwa kuendelea kuwepo ofisini eti ni mwakilishi wa Rais.
Mwakilishi wa Rais mlawiti? Aibu sana.