Tabia hizi mbili za Hayati Magufuli zilifuta Mazuri yake Mengi sana, Watanzania kuna la kujifunza hapa

Alikuwa ni Rais wa HOVYO sana kutokea katika Nchi yetu. Rais anayemiliki kikundi bunafsi cha kuteka, kutesa na kuua maarufu kama WASIOJULIKANA. Tumrudishie Mungu sifa zake kwa kumnyakua maana alikuwa anatupeleka kubaya kiuchumi na kijamii
Utamkumbuka
 
Sema mwamba unaushabiki Sana unauchadema mno binafsi sina huo ushabiki ulionao wewe nashukuru Sana Mungu kwakutokuwa mshabiki wa chama Cha siasa shida unakuwa mtumwa wa kifikra kama wenzako wa matanga hiv huo ushabiki unawasaidia nini?
Huyu CHADEMA wamemuharibu
 
We mwenyeww kuna watu unawakera hapo nyumbani kwako lakini ndio hivyo huwez furahisha kila mtu maisha haya ni kuvumiliana tu ila namlaumu aliepanga njama za kumuua baasi
 
Muacheni marehemu apumzike kwa amani. Marehemu husemwa Kwa mazuri tu. Mabaya ya marehemu yanahitaji huruma ya Mungu kwa kadiri ya mema aliyotenda. RIP JPM
Amani?labda kama yeye mwenyewe ndiye mungu kama mlivyodai.
 
Huyo nae aliletwa na jiwe ndio maana unaona mfanano.
 
Hivi mnajua kuwa kadri mnavyoendelea kumwandika zaidi na zaidi JPM mnamfanya kuwa maarufu zaidi kuliko rais Samia mnayetaka kumtetea? Ni afadhali mngetumia muda mwingi zaidi kuelezea mazuri ya Samia badala ya kuandika mabaya ya Hayati Magufuli (Rip).
 
Habar zisizo nanushahidi au za kutunga nadhan haziruhusiwi humu jamvini..mods tafadhali take your position
Wacha ujinga, kwani hii ndiyo thread ya kwanza kumhusisha Mwendazake na ngono kwa wateule wake? Au wewe ni mgeni JF?
 
Hizo assumption zako ni invalid..hata kama marisasi sijui nini bado wangekuwa na Nia mbaya wangehakikisha lengo la kummaliza linatimia...mpaka katika level ya madaktari ..usifanye mchezo na dhamira ya moyo jomba....futa delete kabisa hiyo mawazo
Wewe Babeli Unamtetea sana yule dikteta kwani una nasaba naye? Basi wahi Chato kuchimba kaburi ukazikwe naye karibu
 
Mbona ndio anasemwa sana ni unaesema kuwa anakubalika? Umetumia mizania gani kubaini ambalo mtazamo wako unaonekana kama nikinyume na uhalisia?

Hivi ujui pia kuwa Mwl Nyerere ndio Rais ambae alipata misukosuko mingi sana kati ya marais wote waliongoza hadi Sasa, au haujui kuwa Mwl ameshawahi kupitia katika majaribio kadhaa ya kupinduliwa? Haya majaribio ya kupinduliwa mara kadhaa ni ishala ya kukubalika....?
 

Ukitaka kuonekana mbaya dai chako….
 

Saizi yamekua maraisi??
Mbona bado tunalia
mishahara imepanda lakini kimaisha hamna mabadiliko!!… hela unaipata ukifika sokoni vitu bei kubwa kuliko ela uliyo nayo
 
Wewe Babeli Unamtetea sana yule dikteta kwani una nasaba naye? Basi wahi Chato kuchimba kaburi ukazikwe naye karibu
Hapana tuwe wakweli..mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni..lazima tutende haki inayompasa..tusitende dhambi sisi ya hukumu kama vile sisi ni malaika...nooo..
 
..assumptions zako ndio invalid.

..kwa mfano, unajuaje kama walikuwa na mpango wa kummaliza hospitali ila walichelewa?

..mwisho, nadhani utauliza kwanini ndege iliyompeleka Lissu Nairobi haikutunguliiwa kwasababu uwezo na dhamira walikuwa nayo.
Tuqchane nayo haya madudu watakuja jieleza wenyewe polisi..
 
Wewe kwa upeo wako mtu kusema kukubalika unaangalia nini au inamaana gani?
 
Hiyo ya pili nadhani ungesema tu kuwa alikuwa muongo. Maana ukisema hakuwa muwazi maana yake alikuwa anafanya bila kutushirikisha ila yeye alikuwa anafanya hivi sisi anakuja kutuambia kinyume chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…