Tabia hizi mbili za Hayati Magufuli zilifuta Mazuri yake Mengi sana, Watanzania kuna la kujifunza hapa

Tabia hizi mbili za Hayati Magufuli zilifuta Mazuri yake Mengi sana, Watanzania kuna la kujifunza hapa

Ninavyofahamu haiwezekani kila kiongozi ajaye akamridhisha kila mtu hilo alipo labda kama kuna dunia nyingine.
Ila Magufuli hakuwa na uzuri wowote ule , alijaa ubaya na ukatili kuanzia juu hadi chini
 
Habari wana JF, kwenye hii dunia hakuna mtu alie kamilika nna maana kila mtu ana tabia au vijitabia ambavyo watu wengine hawavipendi au vinakufanya mtu kufanya ufanya mambo isivyo.

Hivyo Pia JPM pamoja na mazuri yake yote yanayomfanya aonekana ni Rais bora mpaka alikuwa na tabia mbili kubwa ambao kwa namna moja au nyingine zilimpotezea ubora wake :-
1.Mtu wa Visasi ,kwenye hii Dunia kila siku tunakosana na kutofautiana na watu wengi sana katika Haya wengi husamehe wengine hawawezi hivyo hutulia na kusubiri muda muafaka wa kulipa visasi.

Kiongozi watu aliweza kulipa visasi kwa vikundi mpaka kwa ngazi ya mtu mmoja mmoja ,kuna watu walikuwa maskini ,Nchi waliiona Chungu kwa sababu za visasi tu ,kwamba nlikuwa sina mamlaka sasa ninao mtakoma ,hii tabia iliharibu sana Nchi na ndio watu walisema ukatili.

2.Hakuwa Muwazi ,Katika Uongozi kuna mambo unaweza waficha wananchi wako lakini Mambo yanayo husu Maendeleo yao ni bora tukajua ,Tulikopa sana ,Tulipewa misaada Mingi ,tulipewa Pesa za COVID-19 ,kuna hela zilikusanya kwa Nguvu zikiwemo za madeni ya Nyuma kutoka kwa Matajiri na watu kama kina Sabaya na kwenda kufanya maendeleo bila watanzania kujua .
Mambo haya yote watanzania ilibidi wajue ,ili hata tunavyo ambiwa Deni la Taifa ni Trilioni 70 tunaelewa sio kuficha Taarifa .
Hivyo watanzania visasi havifai mtu ulikosana nae Darasani ,ukiwa Waziri ,JF ukipata Cheo kikubwa zaidi Tusahau na kusonga mbele .
Lakini mbali na mapungufu hayo makibwa mawili bado JPM ni mfano wa kuigwa kwa wazalendo wote aliipenda sana Tanzania .
Visasi na Kutokuwa Muwazi sio sifa nzuri kwa kiongozi .
tabia mbaya kuliko zote ilikua ya ukabila na udini

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Habari wana JF, kwenye hii dunia hakuna mtu alie kamilika nna maana kila mtu ana tabia au vijitabia ambavyo watu wengine hawavipendi au vinakufanya mtu kufanya ufanya mambo isivyo.

Hivyo Pia JPM pamoja na mazuri yake yote yanayomfanya aonekana ni Rais bora mpaka alikuwa na tabia mbili kubwa ambao kwa namna moja au nyingine zilimpotezea ubora wake :-
1.Mtu wa Visasi ,kwenye hii Dunia kila siku tunakosana na kutofautiana na watu wengi sana katika Haya wengi husamehe wengine hawawezi hivyo hutulia na kusubiri muda muafaka wa kulipa visasi.

Kiongozi watu aliweza kulipa visasi kwa vikundi mpaka kwa ngazi ya mtu mmoja mmoja ,kuna watu walikuwa maskini ,Nchi waliiona Chungu kwa sababu za visasi tu ,kwamba nlikuwa sina mamlaka sasa ninao mtakoma ,hii tabia iliharibu sana Nchi na ndio watu walisema ukatili.

2.Hakuwa Muwazi ,Katika Uongozi kuna mambo unaweza waficha wananchi wako lakini Mambo yanayo husu Maendeleo yao ni bora tukajua ,Tulikopa sana ,Tulipewa misaada Mingi ,tulipewa Pesa za COVID-19 ,kuna hela zilikusanya kwa Nguvu zikiwemo za madeni ya Nyuma kutoka kwa Matajiri na watu kama kina Sabaya na kwenda kufanya maendeleo bila watanzania kujua .
Mambo haya yote watanzania ilibidi wajue ,ili hata tunavyo ambiwa Deni la Taifa ni Trilioni 70 tunaelewa sio kuficha Taarifa .
Hivyo watanzania visasi havifai mtu ulikosana nae Darasani ,ukiwa Waziri ,JF ukipata Cheo kikubwa zaidi Tusahau na kusonga mbele .
Lakini mbali na mapungufu hayo makibwa mawili bado JPM ni mfano wa kuigwa kwa wazalendo wote aliipenda sana Tanzania .
Visasi na Kutokuwa Muwazi sio sifa nzuri kwa kiongozi .
Tabia za uhutuni huko!
 
Nasikia wiki chache kabla ya kifo chake,alikuwa ametuma mahitman wakamalizane na Lissu huko ubeberuni
 
Mama Samia hana hizo tabia je Tanzania ipoje sasa? Jk pia hakuwa na hizo tabia nchi alifikishaje? Unajaili vitu vya ovyo ovyo Watanzania wengi wanataka maendeleo bila kujali wana raisi wa aina gani na ndio maana ukimuondoa Mwalimu Nyerere anayefuata kwa kukubalika ni Magufuli hivo vitu ulivyoandika wewe ndio vinaangaliwa na wenye itikadi ya vyama na wanasiasa wenzake ila kwa sisi ambao hatuna itikadi ya vyama tunaangalia utendaji wa mtu na namna anavyofanya maendeleo.

Kama watu wanataka maendeleo, ni kipi kilimfanya Nyerere kutumia raslimali za nchi yetu kwenda kuwakomboa weusi wa Afrika kusini, wakati makaburu waliijenga sana Afrika kusini? Kiongozi anayekubalika sana kipimo ni kuheshimu uchaguzi. Magufuli hakuwahi kuheshimu uchaguzi na alipika idadi ya wapiga kura na kura, ili kulazimisha kuonekana anakubalika sana.
 
Muacheni marehemu apumzike kwa amani. Marehemu husemwa Kwa mazuri tu. Mabaya ya marehemu yanahitaji huruma ya Mungu kwa kadiri ya mema aliyotenda. RIP JPM

Shetani anasemwa muda wowote.
 
Nyie mnachanganya Mambo..watu wakiwa wananyooshwa warudi kwenye mstari nyie mnaita eti visasi..binadamu mna shida sana...waswahili wanasema samaki mkunje bado mbichi..Sasa masamaki mengine yalishaachwa yakakomaa, unadhani utayakunjaje....lazima utumie nguvu ya wastani lasivyo hutayaweza..acheni kulalama..wananchi walitaka Rais wa namna hiyo kipindi hicho

Kama alifanya walichokuwa wanataka wananchi, mbona pia walitaka katiba mpya na akagoma?
 
Mama Samia hana hizo tabia je Tanzania ipoje sasa? Jk pia hakuwa na hizo tabia nchi alifikishaje? Unajaili vitu vya ovyo ovyo Watanzania wengi wanataka maendeleo bila kujali wana raisi wa aina gani na ndio maana ukimuondoa Mwalimu Nyerere anayefuata kwa kukubalika ni Magufuli hivo vitu ulivyoandika wewe ndio vinaangaliwa na wenye itikadi ya vyama na wanasiasa wenzake ila kwa sisi ambao hatuna itikadi ya vyama tunaangalia utendaji wa mtu na namna anavyofanya maendeleo.
sawa kabisa
 
Habari wana JF, kwenye hii dunia hakuna mtu alie kamilika nna maana kila mtu ana tabia au vijitabia ambavyo watu wengine hawavipendi au vinakufanya mtu kufanya ufanya mambo isivyo.

Hivyo Pia JPM pamoja na mazuri yake yote yanayomfanya aonekana ni Rais bora mpaka alikuwa na tabia mbili kubwa ambao kwa namna moja au nyingine zilimpotezea ubora wake :-
1.Mtu wa Visasi ,kwenye hii Dunia kila siku tunakosana na kutofautiana na watu wengi sana katika Haya wengi husamehe wengine hawawezi hivyo hutulia na kusubiri muda muafaka wa kulipa visasi.

Kiongozi watu aliweza kulipa visasi kwa vikundi mpaka kwa ngazi ya mtu mmoja mmoja ,kuna watu walikuwa maskini ,Nchi waliiona Chungu kwa sababu za visasi tu ,kwamba nlikuwa sina mamlaka sasa ninao mtakoma ,hii tabia iliharibu sana Nchi na ndio watu walisema ukatili.

2.Hakuwa Muwazi ,Katika Uongozi kuna mambo unaweza waficha wananchi wako lakini Mambo yanayo husu Maendeleo yao ni bora tukajua ,Tulikopa sana ,Tulipewa misaada Mingi ,tulipewa Pesa za COVID-19 ,kuna hela zilikusanya kwa Nguvu zikiwemo za madeni ya Nyuma kutoka kwa Matajiri na watu kama kina Sabaya na kwenda kufanya maendeleo bila watanzania kujua .
Mambo haya yote watanzania ilibidi wajue ,ili hata tunavyo ambiwa Deni la Taifa ni Trilioni 70 tunaelewa sio kuficha Taarifa .
Hivyo watanzania visasi havifai mtu ulikosana nae Darasani ,ukiwa Waziri ,JF ukipata Cheo kikubwa zaidi Tusahau na kusonga mbele .
Lakini mbali na mapungufu hayo makibwa mawili bado JPM ni mfano wa kuigwa kwa wazalendo wote aliipenda sana Tanzania .
Visasi na Kutokuwa Muwazi sio sifa nzuri kwa kiongozi .
Kila kiongozi huwa ana mazuri na mabaya yake jamaniii!!!

Lakini pia watanzania tuna ugonjwa mmoja mbaya saana,

Yaani hatujui kutofautisha kati ya baya na zuri.

Lakini pia Kila uongozi huaga unakuwa namachawa wake ambao hutumika kutuaminisha sisi mazuri tu yanayofanywa na uongozi uliopo madarakani na kuficha maovu yao.

Lakin kwa akili yetu yakupima sisi wananchi ndo tunaweza kuona upi uongoz ulikuwa na afadhali kuliko mwingine kwa kupima na kulinganisha baadhi yavitu.

binafsi naona JPM alikuwa na mazuri mengi ukilinganisha na mabaya yake.
 
Kila kiongozi huwa ana mazuri na mabaya yake jamaniii!!!

Lakini pia watanzania tuna ugonjwa mmoja mbaya saana,

Yaani hatujui kutofautisha kati ya baya na zuri.

Lakini pia Kila uongozi huaga unakuwa namachawa wake ambao hutumika kutuaminisha sisi mazuri tu yanayofanywa na uongozi uliopo madarakani na kuficha maovu yao.

Lakin kwa akili yetu yakupima sisi wananchi ndo tunaweza kuona upi uongoz ulikuwa na afadhali kuliko mwingine kwa kupima na kulinganisha baadhi yavitu.

binafsi naona JPM alikuwa na mazuri mengi ukilinganisha na mabaya yake.
Uko sahihi
 
Mama Samia hana hizo tabia je Tanzania ipoje sasa? Jk pia hakuwa na hizo tabia nchi alifikishaje? Unajaili vitu vya ovyo ovyo Watanzania wengi wanataka maendeleo bila kujali wana raisi wa aina gani na ndio maana ukimuondoa Mwalimu Nyerere anayefuata kwa kukubalika ni Magufuli hivo vitu ulivyoandika wewe ndio vinaangaliwa na wenye itikadi ya vyama na wanasiasa wenzake ila kwa sisi ambao hatuna itikadi ya vyama tunaangalia utendaji wa mtu na namna anavyofanya maendeleo.
Kwa hiyo sisi watanzania tusio na vyama ndo tulichagua mbunge mmoja tu wa upinzani( yule dada wa Nkasi)? Na Kama hi Hali ikiendelea tutaendelea bado kuwa kisiwa cha amani?
 
Habari wana JF, kwenye hii dunia hakuna mtu alie kamilika nna maana kila mtu ana tabia au vijitabia ambavyo watu wengine hawavipendi au vinakufanya mtu kufanya ufanya mambo isivyo.

Hivyo Pia JPM pamoja na mazuri yake yote yanayomfanya aonekana ni Rais bora mpaka alikuwa na tabia mbili kubwa ambao kwa namna moja au nyingine zilimpotezea ubora wake :-
1.Mtu wa Visasi ,kwenye hii Dunia kila siku tunakosana na kutofautiana na watu wengi sana katika Haya wengi husamehe wengine hawawezi hivyo hutulia na kusubiri muda muafaka wa kulipa visasi.

Kiongozi watu aliweza kulipa visasi kwa vikundi mpaka kwa ngazi ya mtu mmoja mmoja ,kuna watu walikuwa maskini ,Nchi waliiona Chungu kwa sababu za visasi tu ,kwamba nlikuwa sina mamlaka sasa ninao mtakoma ,hii tabia iliharibu sana Nchi na ndio watu walisema ukatili.

2.Hakuwa Muwazi ,Katika Uongozi kuna mambo unaweza waficha wananchi wako lakini Mambo yanayo husu Maendeleo yao ni bora tukajua ,Tulikopa sana ,Tulipewa misaada Mingi ,tulipewa Pesa za COVID-19 ,kuna hela zilikusanya kwa Nguvu zikiwemo za madeni ya Nyuma kutoka kwa Matajiri na watu kama kina Sabaya na kwenda kufanya maendeleo bila watanzania kujua .
Mambo haya yote watanzania ilibidi wajue ,ili hata tunavyo ambiwa Deni la Taifa ni Trilioni 70 tunaelewa sio kuficha Taarifa .
Hivyo watanzania visasi havifai mtu ulikosana nae Darasani ,ukiwa Waziri ,JF ukipata Cheo kikubwa zaidi Tusahau na kusonga mbele .
Lakini mbali na mapungufu hayo makibwa mawili bado JPM ni mfano wa kuigwa kwa wazalendo wote aliipenda sana Tanzania .
Visasi na Kutokuwa Muwazi sio sifa nzuri kwa kiongozi .
Leo ID yako naona imeobiwa na walamva asali.

Wewe mpaka juzi tu ulikuwa unapinga haya

Jpm alikuwa Rais na angekuwa Rais bora kabisa. Ila mambo yale ya wasiojulikana kwa Tanzania ya watanzanua wanaomwamini Mungu wasingeyavumilia. Yalifaa yafanyika Rwanda huko na Uganda na DRC walikozoea kuchinjana.
 
Back
Top Bottom