Tabia hizi za Wachagga za kujenga nyumbani zinapaswa kuigwa na Makabila yote

Tabia hizi za Wachagga za kujenga nyumbani zinapaswa kuigwa na Makabila yote

uran

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
10,392
Reaction score
15,948
Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako).

Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua.

Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua wanamaeneo mazuri yakufikia.

Tabia nzuri na ya kuigwa.

IMG_20210701_143214.jpg
 
Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako).

Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua.

Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua wanamaeneo mazuri yakufikia.
Tabia nzuri na ya kuigwa.

View attachment 1838693
Mbona sioni hata nyumba moja, naona migomba michache tena isio na afya nzuri
 
Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako).

Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua.

Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua wanamaeneo mazuri yakufikia.
Tabia nzuri na ya kuigwa.

View attachment 1838693
Kwahio tabia hii ya kupanda migomba ndio ya kuigwa?
 
Wazo zuri..
Nenda kajenge kule kwenu Ileje ndani ndani.. Au Kantalamba huko sijui bondeni ziwa Rukwa.. Litakuwa jambo jema but bado haitokuwa sababu pekee ya kukufanya uende kila mwaka.
Mkuu utakua mwenyeji wa wampembe ziwa rukwa au,laela sio bure.tena mundali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom