Tabia hizi za Wachagga za kujenga nyumbani zinapaswa kuigwa na Makabila yote

Tabia hizi za Wachagga za kujenga nyumbani zinapaswa kuigwa na Makabila yote

Jenga sehemu yoyote yenye fursa na sio kujenga kisa ni kwenu or something. Dunia inaendelea kwa kasi sana hivyo ukibaki na mawazo ya miaka ya 1960 utakuwa unajitafutia kufa masikini.

jenga popote pale penye fursa hata marekani, ila kama umeona kilimo ni fursa basi jenga huko shamba.
mtu mwenye akili ya kujenga kwao mradi ni kwao karne hii lazima atakuwa na mindset ya kitoto.
 
Sababu inayofanya mikoa mingine watu wasijenge nyumba vijijini ni Uchawi na Ushirikina.

Kwa jamii za wachaga vijijini ni fahari kuona mtoto wa mwenzie amejenga, amenunua gari amefaulu mtihani n.k

Lakini kwenye vijiji vya mikoa mingine thubutuuuu.

Ndiyo maana maendeleo maeneo yoyote yenye uchawi hakuna sababu akijitokeza mtu au watu kufanya jambo la maendeleo wanamuua au kumrudisha nyuma .!
Maendeleo kwako ni nini?

Mkuu kama unajisifia sawa lakini acha kuponda wengine that's childish, sababu hata nikiwambia uprove chochote ulichoandika hutoweza.
 
Jenga sehemu yoyote yenye fursa na sio kujenga kisa ni kwenu or something. Dunia inaendelea kwa kasi sana hivyo ukibaki na mawazo ya miaka ya 1960 utakuwa unajitafutia kufa masikini.

jenga popote pale penye fursa hata marekani, ila kama umeona kilimo ni fursa basi jenga huko shamba.
mtu mwenye akili ya kujenga kwao mradi ni kwao karne hii lazima atakuwa na mindset ya kitoto.


Kwa hiyo kule kunako chimbuko la wazazi wako utakuwa huendi?

Je kama utaenda utaenda kufikia wapi? Kwenye nyumba gani?

Kwenye kibanda cha udongo cha mbavu za mbwa ?

Saingine kinavuja wakati wa mvua!

Je ukienda utaenda kujisaidia porini ?
 
Kwa hiyo kule kunako chimbuko la wazazi wako utakuwa huendi?

Je kama utaenda utaenda kufikia wapi? Kwenye nyumba gani?

Kwenye kibanda cha udongo cha mbavu za mbwa ?

Saingine kinavuja wakati wa mvua!

Je ukienda utaenda kujisaidia porini ?
Well mkuu seriously unadhani kila mtu amezaliwa shamba kijijini kwenye kijumba cha udongo?
 
Maendeleo kwako ni nini?

Mkuu kama unajisifia sawa lakini acha kuponda wengine that's childish, sababu hata nikiwambia uprove chochote ulichoandika hutoweza.


Ku prove kitu gani kwa mfano?

Kama ni takwimu rasmi zipo, unataka kusema nini?

Eti maendeleo kwako ni nini Yani wewe hujui maendeleo ni nini?

Basi mijadala mingine ikupitege tu!

Halafu usichukukulie kama swala binafsi na kuchukia na hasira juu , relax!

Antibiotics ni chungu lakini mtu akikubali kunywa zinaponyesha na kuondoa maumivu yote.
 
Well mkuu seriously unadhani kila mtu amezaliwa shamba kijijini kwenye kijumba cha udongo?


Basing on the weighted average iko hivyo kwa vijiji vingi.
Tz ni nchi maskini bado,
Kuna watu wanaishi kwa mlo mmoja kwa siku.
Kama kwenu umejaliwa mashaallah hakuna shida shukuru.

Halafu kuna watu hawaamini ktk kutegemea vya urithi [emoji108][emoji108]

Wanaamini ktk kila mtoto kujenga chake ktk kila hatua ya maisha .

Kwa hiyo inategemea na jamii.
 
Basing on the weighted average iko hivyo kwa vijiji vingi.
Tz ni nchi maskini bado,
Kumbe unajua Tanzania ni nchi masikini.

Sababu inayofanya mikoa mingine watu wasijenge nyumba vijijini ni Uchawi na Ushirikina.
Lakini kwenye vijiji vya mikoa mingine thubutuuuu
Ndiyo maana maendeleo maeneo yoyote yenye uchawi hakuna sababu akijitokeza mtu au watu kufanya jambo la maendeleo wanamuua au kumrudisha nyuma .!

na kwa mujibu wa post zako ya nyuma unamaanisha sehemu nyingi za tanzania kumejaa uchawi na ushirikina.
hivyo unamaanisha tanzania ni masikini kwa sababu ya uchawi na ushirikina.

First of all leta credible evidences and proofs kuprove kwamba tanzania ni nchi masikini kwa sababu ya uchawi na ushirikina.....?

Na unitajie sehemu moja tu ya uchagani yenye maendeleo kuliko sehemu zozote nchini....?

Usikimbie mjadala kwa kuleta excuses.

Ku prove kitu gani kwa mfano?

Kama ni takwimu rasmi zipo, unataka kusema nini?
Prove hivyo hapo juu na leta hizo takwimu ulizosema zipo.

Eti maendeleo kwako ni nini Yani wewe hujui maendeleo ni nini?

Basi mijadala mingine ikupitege tu!

Halafu usichukukulie kama swala binafsi na kuchukia na hasira juu , relax!

Antibiotics ni chungu lakini mtu akikubali kunywa zinaponyesha na kuondoa maumivu yote.
Wewe unaweza kuwa na maana yako ya maendeleo inayokufanya upotoshe kati ya maendeleo na human basic needs.

pia sina muda wa kuchukia wala kukasirika kwa vitu ambavyo ni misinterpretations.
 
Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako).

Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua.

Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua wanamaeneo mazuri yakufikia.

Tabia nzuri na ya kuigwa.

View attachment 1838693
Ina maana wewe kijijini kwenu hata mwenyekiti Hana nyumba kama hiyo, utakuwa umetokea wilaya ya Rufiji au Handeni
 
Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako).

Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua.

Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua wanamaeneo mazuri yakufikia.

Tabia nzuri na ya kuigwa.

View attachment 1838693
Hii sio tabia ya wachagga peke yao. Ni tabia ya makabila mengi ya Tanzania hasa kwa ukanda wetu wa kaskazini. Sisi huwa tunashangaa mtu anafanikiwa halafu hapendezeshi kwao. Watu wa kaskazii mwa Tanzania wengi huona aibu sana kama yeye amefanikiwa lkn kwao hapapendezi.
Makabila kama Wachagga, Wameru, Wapare, Wairaq, Waarusha na hata Wamaasai nao wameanza kupenda kujenga nyumba nzuri.
 
Kumbe unajua Tanzania ni nchi masikini.




na kwa mujibu wa post zako ya nyuma unamaanisha sehemu nyingi za tanzania kumejaa uchawi na ushirikina.
hivyo unamaanisha tanzania ni masikini kwa sababu ya uchawi na ushirikina.

First of all leta credible evidences and proofs kuprove kwamba tanzania ni nchi masikini kwa sababu ya uchawi na ushirikina.....?

Na unitajie sehemu moja tu ya uchagani yenye maendeleo kuliko sehemu zozote nchini....?

Usikimbie mjadala kwa kuleta excuses.


Prove hivyo hapo juu na leta hizo takwimu ulizosema zipo.


Wewe unaweza kuwa na maana yako ya maendeleo inayokufanya upotoshe kati ya maendeleo na human basic needs.

pia sina muda wa kuchukia wala kukasirika kwa vitu ambavyo ni misinterpretations.


Kumbe Tanzania ni nchi Tajiri kwa hiyo iko miongoni mwa developed countries in the world?

Kama ufahamu wako uko wa kiwango hicho sina namna ya kufungua darasa na kuanza kufundisha mtu au watu humu!
 
Wachaga & wahaya wanapemda sana kuweka heshima ya mjengo pembeni ya makaburi ya wazazi wao
 
Kumbe unajua Tanzania ni nchi masikini.




na kwa mujibu wa post zako ya nyuma unamaanisha sehemu nyingi za tanzania kumejaa uchawi na ushirikina.
hivyo unamaanisha tanzania ni masikini kwa sababu ya uchawi na ushirikina.

First of all leta credible evidences and proofs kuprove kwamba tanzania ni nchi masikini kwa sababu ya uchawi na ushirikina.....?

Na unitajie sehemu moja tu ya uchagani yenye maendeleo kuliko sehemu zozote nchini....?

Usikimbie mjadala kwa kuleta excuses.


Prove hivyo hapo juu na leta hizo takwimu ulizosema zipo.


Wewe unaweza kuwa na maana yako ya maendeleo inayokufanya upotoshe kati ya maendeleo na human basic needs.

pia sina muda wa kuchukia wala kukasirika kwa vitu ambavyo ni misinterpretations.


Tembelea ofisi ya mtakwimu wa serikali utaona maeneo nchini ambayo yana afadhali ya kimaendeleo kwa regionalwise.

Halafu jizoeze kuwa unatafuta hizo taarifa mara kwa mara ili kuepuka kujichoresha kwa ubishi usio na maana.
Yani unabisha kuwa Mkoa wa Kilimanjaro haujaendelea?! Duuh.

Na wala haina maana kwamba mkoa huo una maendeleo makubwa kivilee sema tu una afadhali kidogo ukilinganisha na mikoa mingine.
 
Kumbe unajua Tanzania ni nchi masikini.




na kwa mujibu wa post zako ya nyuma unamaanisha sehemu nyingi za tanzania kumejaa uchawi na ushirikina.
hivyo unamaanisha tanzania ni masikini kwa sababu ya uchawi na ushirikina.

First of all leta credible evidences and proofs kuprove kwamba tanzania ni nchi masikini kwa sababu ya uchawi na ushirikina.....?

Na unitajie sehemu moja tu ya uchagani yenye maendeleo kuliko sehemu zozote nchini....?

Usikimbie mjadala kwa kuleta excuses.


Prove hivyo hapo juu na leta hizo takwimu ulizosema zipo.


Wewe unaweza kuwa na maana yako ya maendeleo inayokufanya upotoshe kati ya maendeleo na human basic needs.

pia sina muda wa kuchukia wala kukasirika kwa vitu ambavyo ni misinterpretations.


Tafiti za kisayansi zimethibitisha hayo over Easr Africa Tz inaongoza kwa ushirikina.
Nenda kwenye Maktaba katafute kusoma na ujue siyo kila kitu utake jujifunzia hapa JF.

Matukio ya wabibi / wababu kuuawa mikoani , Albinos kukatwa viganja vya mikono na kuuawa, watu kuuawa na kuchunwa ngozi mikoani n.k ni miongoni mwa sababu zikizopelekea watu kufanya tafiti mbalimbali na kuja na uthibitisho kuwa Tanzania kuna ushirikina na umekuwa ukiathiri maendeleo kwa njia hasi.

Sasa tafiti hupingwa kwa tafiti, kafanye yako ulete taarifa.
 
Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako).

Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua.

Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua wanamaeneo mazuri yakufikia.

Tabia nzuri na ya kuigwa.

View attachment 1838693
Mahali pa kufikia si sababu pekee ya kufanya mtu aende kwao (kwa mtazamo wako). Na picha hiyo yaonyesha mpangilio wa ujenzi na miundo mbinu ni mbovu.Sijui ulivutiwa na nini!
 
Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako).

Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua.

Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua wanamaeneo mazuri yakufikia.

Tabia nzuri na ya kuigwa.

View attachment 1838693
Yaani we unatakiwa uende tuition ya kupiga picha ,utake ustake,,haiwezekani lengo liwe kupiga picha nyumba lakini focus ipo kwenye migomba,,,sisi tunaona migomba ,,,hiyo ya nyumba imetokea kweny picha tu bahati mbaya
 
Kwa hiyo kule kunako chimbuko la wazazi wako utakuwa huendi?

Je kama utaenda utaenda kufikia wapi? Kwenye nyumba gani?

Kwenye kibanda cha udongo cha mbavu za mbwa ?

Saingine kinavuja wakati wa mvua!

Je ukienda utaenda kujisaidia porini ?
Kazaliwa na kukulia wapi,alikuwa anajisaidiaje,hajawahi nyeshewa mvua? Akiona mapungufu atarekebisha kwa wakati na rasilimali ikiruhusu.Ya nini kumpangia?
 
Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako).

Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua.

Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua wanamaeneo mazuri yakufikia.

Tabia nzuri na ya kuigwa.

View attachment 1838693
Karibu sana kwetu bwashee
 
Back
Top Bottom