Tabia hizi za Wachagga za kujenga nyumbani zinapaswa kuigwa na Makabila yote

Tabia hizi za Wachagga za kujenga nyumbani zinapaswa kuigwa na Makabila yote

Mbona na mijini wamewekeza sana
Kwani unaishi wapi mkuu?

Wachagga wengi wakistaafu / wakizeeka wanapenda kurudi vijijini hawataki tena kurupushani na kelele za mjini.
Wanawekeza mjini, wanakula taratibu kijijini wakiwa na company zao za utotoni.

Hata wazee wengi walioko uchagani hawapendi kuishi mjini
Hii ni kwasababu vijiji vya huko vina mahitaji yote muhimu kuanzia Hospitali, makazi bora, miundombinu safi, hali ya hewa nk
Siyo kweli wazee wachagga wako wengi tu huku mjini na hawataki kurudi huko kwenye umande kwenda kuishi na manyani
 
Siyo kweli wazee wachagga wako wengi tu huku mjini na hawataki kurudi huko kwenye umande kwenda kuishi na manyani

Mimi nimesema WENGI sijasema WOTE wanarudi vijijini, we ulitaka usiwaone kabisa mjini?
Usikurupuke mkuu.

Wahaya mna shida sana.
 
Ndiyo maana huwa nawaambia watu msiwachukie na kuwa husuda hao watu badala yake tuwapende tujiweke karibu yao tujifunze kutoka kwao kisha tufanye yenye kufaa tuendelee.

Tubadilishe mindsets zetu tuache kujihurumia na uvivu .

Tuache kuzani umaskini ni mapenzi ya Mungu wakati vitabu vitakatifu vyote vinahimiza watu kufanya kazi na asiye Fanya kazi asile.

Yani Mungu amekuwa mkali na serious kuwa asiye Fanya kazi na asile ili kama ni kufa na afe potelelea mbali.
Acha porojo. Hakuna popote kwenye biblia imeandikwa asiyefanya kazi na asile.
 
Hivi wachaga mbona mna kaushamba flani hivi!..mnaabudu mali as if ukifa unaondoka navyo?

Utu kwanza bana
Nimekuja huku Kilimanjaro, kitu nilichogundua hawa vijana wa huku wakitoka Moshi wanapanda magari kuelekea Dar basi wanahisi wamemaliza.

Huuu mkoa hauna maajabu, umepooza ndio maana hata wao wenyewe wamebaki kukimbia kimbia mikoa mingine kama digi digi.

Ukiitoa Moshi mjini, hakuna wilaya ya Kilimanjaro iliyopiga hatua kuizidi hata Manyoni, Singida.

Suala la kujenga kwenye mashamba ya migomba ni kwasababu hata ardhi yenyewe hakuna, ukitaka kujenga inabidi ufyeke migomba.

Huku kesi na kuuana kwasababu ya ardhi kutokana na uhaba wake ni nje nje.
 
Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako).

Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua.

Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua wanamaeneo mazuri yakufikia.

Tabia nzuri na ya kuigwa.

View attachment 1838693
Sioni kitu hapa mbona, nyumba iko wapi?
 
Bila Shaka hamjawahi fika bukoba vijijini huko Cha mtoto
 
Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako).

Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua.

Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua wanamaeneo mazuri yakufikia.

Tabia nzuri na ya kuigwa.

View attachment 1838693
Duh Kirua Kwetu ndugu
 
Nimekuja huku Kilimanjaro, kitu nilichogundua hawa vijana wa huku wakitoka Moshi wanapanda magari kuelekea Dar basi wanahisi wamemaliza.

Huuu mkoa hauna maajabu, umepooza ndio maana hata wao wenyewe wamebaki kukimbia kimbia mikoa mingine kama digi digi.

Ukiitoa Moshi mjini, hakuna wilaya ya Kilimanjaro iliyopiga hatua kuizidi hata Manyoni, Singida.

Suala la kujenga kwenye mashamba ya migomba ni kwasababu hata ardhi yenyewe hakuna, ukitaka kujenga inabidi ufyeke migomba.

Huku kesi na kuuana kwasababu ya ardhi kutokana na uhaba wake ni nje nje.
Hata kama ni chuki binafsi hii imezidi
Yani ufanishe Machame au Marangu na Manyoni?

Lakini sishangai kwasababu nimeona ni "Mkaruka", huo mkoa wivu umewajaa sana.
 
Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako).

Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua.

Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua wanamaeneo mazuri yakufikia.

Tabia nzuri na ya kuigwa.

View attachment 1838693
Magu alijenga chato mka muua
 
Eeeh mbona kama kwetu kwenye ilo eneo??kirua
Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako).

Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua.

Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua wanamaeneo mazuri yakufikia.

Tabia nzuri na ya kuigwa.

View attachment 1838693
 
Nisipjue kwa nini ? Pa kawaida tu sasa hivi kila sehemu vijijini wanajenga.
Kilimanjaro vijiji vyake makazi Bora ni 90% Hakuna mkoa wowote tz unaoufikia labda wadogo zetu kagera tena wilaya ya bukoba,muleba kidogo na misenyi tu
 
Back
Top Bottom