Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Oh kumbeMajani ya ng'ombe sio miwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oh kumbeMajani ya ng'ombe sio miwa
Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako).
Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua.
Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua wanamaeneo mazuri yakufikia.
Tabia nzuri na ya kuigwa.
View attachment 1838693
Nimeongelea tabia zaidi ya moja.
Au haina wingi hii?
Kujenga kwao.
2. kwenda kwao mwisho wa Mwaka.
😂😂😂😂😂Mkuu utakua mwenyeji wa wampembe ziwa rukwa au,laela sio bure.tena mundali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe mchagga kumbe afu itakuwa dada wa kimarangu kiruuu mbutaaMajani ya ng'ombe sio miwa
Makafala ya damu ya mbuzi na matambiko yametamalaki uchaganiSababu inayofanya mikoa mingine watu wasijenge nyumba vijijini ni Uchawi na Ushirikina.
Kwa jamii za wachaga vijijini ni fahari kuona mtoto wa mwenzie amejenga, amenunua gari amefaulu mtihani n.k
Lakini kwenye vijiji vya mikoa mingine thubutuuuu.
Ndiyo maana maendeleo maeneo yoyote yenye uchawi hakuna sababu akijitokeza mtu au watu kufanya jambo la maendeleo wanamuua au kumrudisha nyuma .!
MbonyiWenye wivu huwa mna julikana
Makafala ya damu ya mbuzi na matambiko yametamalaki uchagani