Tabia hizi za Wachagga za kujenga nyumbani zinapaswa kuigwa na Makabila yote

Tabia hizi za Wachagga za kujenga nyumbani zinapaswa kuigwa na Makabila yote

Mbona hakuna nyumba ya maana hapo
Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako).

Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua.

Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua wanamaeneo mazuri yakufikia.

Tabia nzuri na ya kuigwa.

View attachment 1838693
 
Kazaliwa na kukulia wapi,alikuwa anajisaidiaje,hajawahi nyeshewa mvua? Akiona mapungufu atarekebisha kwa wakati na rasilimali ikiruhusu.Ya nini kumpangia?


Nimempangia wapi? [emoji2369][emoji2369]
 
Soma kati ya mistari ulivyoandika.Utaelewa upya ulichosema.
 
Jenga sehemu yoyote yenye fursa na sio kujenga kisa ni kwenu or something. Dunia inaendelea kwa kasi sana hivyo ukibaki na mawazo ya miaka ya 1960 utakuwa unajitafutia kufa masikini.

jenga popote pale penye fursa hata marekani, ila kama umeona kilimo ni fursa basi jenga huko shamba.
mtu mwenye akili ya kujenga kwao mradi ni kwao karne hii lazima atakuwa na mindset ya kitoto.
Anakuwa ameshajenga sehemu nyingine. Huko migombani anajenga nyumbani kwao alikozaliwa. Nyumba ya kupumzikia na kupunguza stress. Nyumba ya kukutana na ndugu. Kumabuka mkaataa kwao ni mtumwa.
 
Kuna baadhi ya maeneo wazee wenyewe wanawambia vijana wao wasijenge nyumba za viwango kwa kusingizia kuwa wanaweza kurogwa na wanakijiji wengine au ndugu wa ukoo
 
Makafala ya damu ya mbuzi na matambiko yametamalaki uchagani

Hakuna jamii isiyotoa kafara hapa duniani, devil is universal. Hata ukienda Congo utakuta makabila yanayotoa kafara. Kafara hazitolewi na wachaga pekee, hata makabila mengine wanatoa. Chasaka mkubwa wewe [emoji3]
 
Kuna mitazamo tofauti.
Kujenga kijijini inaweza kuwa misallocation of resources.
Unawekeza investment kubwa ambayo ungeweka mjini ungeweza kupata fedha nyingi. Mtu ameweka ghorofa kijijini, ni kujionyesha au ndio nyumbani.
Mbona na mijini wamewekeza sana
Kwani unaishi wapi mkuu?

Wachagga wengi wakistaafu / wakizeeka wanapenda kurudi vijijini hawataki tena kurupushani na kelele za mjini.
Wanawekeza mjini, wanakula taratibu kijijini wakiwa na company zao za utotoni.

Hata wazee wengi walioko uchagani hawapendi kuishi mjini
Hii ni kwasababu vijiji vya huko vina mahitaji yote muhimu kuanzia Hospitali, makazi bora, miundombinu safi, hali ya hewa nk
 
Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako).

Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua.

Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua wanamaeneo mazuri yakufikia.

Tabia nzuri na ya kuigwa.

View attachment 1838693

Pana fana na chato
 
Hivi wachaga mbona mna kaushamba flani hivi!..mnaabudu mali as if ukifa unaondoka navyo?

Utu kwanza bana
 
Hivi wachaga mbona mna kaushamba flani hivi!..mnaabudu mali as if ukifa unaondoka navyo?

Utu kwanza bana
Umeona ibada wapi hapo wewe mrembo?
 
Ina maana wewe kijijini kwenu hata mwenyekiti Hana nyumba kama hiyo, utakuwa umetokea wilaya ya Rufiji au Handeni
Nimetokea Kamachumu nyumba kAma hzo ni chache sana
 
Hahahaha kuna taarifa kuwa wachagga wamekumbwa na ukata kiasi ambacho ukiwa na sukari tu na majini ya chai unajipatia binti mbichi kabisa.
 
Back
Top Bottom