luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Kilimanjaro vijiji vyake makazi Bora ni 90% Hakuna mkoa wowote tz unaoufikia labda wadogo zetu kagera tena wilaya ya bukoba,muleba kidogo na misenyi tuNisipjue kwa nini ? Pa kawaida tu sasa hivi kila sehemu vijijini wanajenga.
Kilimanjaro vijiji vyake makazi Bora ni 90% Hakuna mkoa wowote tz unaoufikia labda wadogo zetu kagera tena wilaya ya bukoba,muleba kidogo na misenyi tuNisipjue kwa nini ? Pa kawaida tu sasa hivi kila sehemu vijijini wanajenga.
Sifa hazoendani na ukqTuache wivu , tuige mazuri na kuyafanyia kazi.
Unateseka mno na wachaga,ulipata butwaa ulipoenda uchagani na kushuhudia ma kasri yamejengwa vijijinSifa hazoendani na ukq
Mungu akikufanikisha Usisahau kujenga kwenu mkuu.Mkuu unajua hii ni karne gani ?
Nikukumbushe tu nyumbani kwako ni pale unapoishi...., haya mambo ya maisha yako unapumulia watu / majirani zako unaoishi nao ma-carbon-dioxide alafu eti unajifanya sijui nyumbani ni wapi ambapo ukubwani kwenda kwako huko ni theluthi ya maisha yako sidhani kama kunajenga....
By the way itafika wakati vijiji vinapokuwa miji kutakuwa hakuna kijiji cha wachagga wala wahaya bali watanzania..., yaani unakwenda kule so called kwenu hakuna anayekujua.... (Sadly that's a fact of Life)
Kujenga ni muhimu.Umasikini ni mbaya sana na mtu kuitwa au kutambulika km maskini ni kosa kubwa sana na kukubal kua maskini ni raana
Maskini hutaka kuiga na kujua kla kitu hiyo ndo tabia moja wapo ya maskini
Sio lzma kla kitu ukiige na sio lazma kila kitu ukijue deal na vile vya muimu ktk maisha yako