Google Diggers
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 944
- 1,138
Haina haja ya salamu.
Hawa wavaa vibaya na wasema hovyo wanatabia nyingi mbovu. Hapa nielezee kidogo nauli. Wandugu kama hujui bei watakukanyaga watakutoza kiasi wanachotaka wao.
Kabla mafuta hayajapanda Kwa sababu za vita ya Ukraine vs Russia nauli ilikuwa 750 kutoka pande zote za mbali. Hapa naongelea anywhere kwenda au kurudi kwenda mjini.
Nauli ikaenda juu wakapandisha, Kwa sababu Latra hawakutoa muongozo mapema hawa viumbe wali-injoi soko.
Kwanza wakawa wanapiga 1000 Latra wakatoa bei ikawa 850. Sasa ole wako utoe buku wanailamba. Bunju Mwenge 600 ole wako umpe 850 labda awe mtumishi wa Mungu. Lakini hawa wajamaa wanaila.
Mwenge Bunju ni 600 ukiwapa 750 wanakula.
Kwa kifupi Latra wamelala sana.
Hawa wavaa vibaya na wasema hovyo wanatabia nyingi mbovu. Hapa nielezee kidogo nauli. Wandugu kama hujui bei watakukanyaga watakutoza kiasi wanachotaka wao.
Kabla mafuta hayajapanda Kwa sababu za vita ya Ukraine vs Russia nauli ilikuwa 750 kutoka pande zote za mbali. Hapa naongelea anywhere kwenda au kurudi kwenda mjini.
Nauli ikaenda juu wakapandisha, Kwa sababu Latra hawakutoa muongozo mapema hawa viumbe wali-injoi soko.
Kwanza wakawa wanapiga 1000 Latra wakatoa bei ikawa 850. Sasa ole wako utoe buku wanailamba. Bunju Mwenge 600 ole wako umpe 850 labda awe mtumishi wa Mungu. Lakini hawa wajamaa wanaila.
Mwenge Bunju ni 600 ukiwapa 750 wanakula.
Kwa kifupi Latra wamelala sana.