Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

Wa Arusha mbona walishagahombea pilau la bure sikukuu ya Eid?? Hawa ndo hawafai kabisa! Wanaume tupo huki TANZANIA (dsm)! Waulizeni wanawake zenu wawaambie.
hiyo itakuwa Dodoma wilaya ya Arusha..
 
hahaha watoboa maskio....wafuga kuchaa...wapaka crimu duh.kweli tanzania sasa imeishiwa wanaume
bora watoboa masikio kwa kudumisha mila, kuliko wale wa Dar wanaovaa vikuku
 
Wanaume wa Dar
-wanakatwa kucha na wauza urembo
-wanapaka shine kwenye kucha
-wanatumia lotion ma scrub
-wanatumia manukato na marashi ya kike
-wanaenda taarab
Wanatinda nyusi
-wanakunywa redds na st. Anne
-wanajipodoa
-wanavaa hereni
-wanasutana
-wana.........
Hahahaha usinivunje mbavu wanaume wetu wa dar bwana???
 
Back
Top Bottom