Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

Ima maana wanaume wa Dar wanaoa wanaume wenzao pia? Hii itabidi niionheze ktk list.
We subiri kiama. Utashangaa unalowea Dar na kuwa wa Dar. Unadhani wote unawaona wamezaliwa Dar?
 
We subiri kiama. Utashangaa unalowea Dar na kuwa wa Dar. Unadhani wote unawaona wamezaliwa Dar?
Sio rahisi, nina shughuli huku bara ndogo ila nzuri tu ambayo mi ndo bosi wangu. Nitafika kushangaa hivi visa labda kwa wiki, nikiwasimulia huku kuhusu hivi visa wanaona kama nawadanganya, nitakuwa naja nao kuja kutalii, maana hawa wanaume watakuwa kama kivutio cha utalii.
 
Unaonekana kama kuna una bifu binafsi na baadhi ya wanaume wa mjini darisalama ili kupata relief ndo umekuja kujipostia thread ya kimbea mbea ungekuwa rijal kama unavyodai ungebaki huko mkoani ila kwa sababu darisalama kuna madili imebidi uje mwenyewe haya wasalimie huko mkoani kwenu
 
Tatizo ukifika Dar company yako ni vijiweni. Dar ndiyo Tanzania.
 
Muda wa mwezi mmoja umechunguza yote na kuyaona, Mwenyeji wako alikua na kazi kubwa ya kukuwezesha.
 
Pia wanapenda Magari ya wanaume wenzao
 
Huu ni ujinga kabisa hivi Dar kuna waenyeji kweli labda watu wabagamoyo mm najua Dar es salaam wote wavamia mji kuna kila aina ya makabila Dar yote asili yao huko mikoani mkuu umejitukana mwenyewe tu eti wanatembea na madumu ya mafuta kwenye gari pumbavu
 
Ni kweli mkuu baadhi ya wanaume wa Dar Wakija mikoani wanapenda kulelewa kwa mfano hapa arusha wanaume wa Dar Wengi Wao wana tabia ya kulelewa na wanawake alafu ni wambea yani kila kitu ukimwambia anasema , mwanau Hawez hata kujishughulisha anamtegemea mwanamke yy anachojua ni mechi ya 6 x 6 na ukikaa vibaya anatembea had na marafiki zako. Hapa arusha wanawake Wengi wanalalamika kuwa wanaume wa Dar wanapenda kulelewa. Na ukiishiwa wanakuacha wanahamia kwa mwanamke mwingine.
 
Mulee muleee

Ila hiyo no.18 kiboko yao
 
Asante, salaam ziwafikie wanaume wote wa Dar slum niliowagusa.
Hujamgusa yeyote wewe mbwiga, badala ya kufanya kazi zako unakaa kuchunguza vitambi vya wanaume wenzio. Aibu kwako kwa kudhalilisha uanaume.
 
Muda wa mwezi mmoja umechunguza yote na kuyaona, Mwenyeji wako alikua na kazi kubwa ya kukuwezesha.
Hamna uchunguzi, cha kufanya usikae nyumbani tu, mambo yako wazi wazi, ni macho yako tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…