Tabia nisizozipenda kwa mabinti wa kaskazini (hasa wachaga) wakiolewa

Tabia nisizozipenda kwa mabinti wa kaskazini (hasa wachaga) wakiolewa

Huoni upotoshaji uliopo kwenye hii mada? Kwamba kahitimisha hizo ndio tabia za jumla za wanawake wa kichaga
Ndugu yangu, sina nia mbaya; nimepita sehemu tofauti na nimekutana na watu tofauti wengi wao wanawazungumzia wanawake wa kichagga kwa namna hiyo! Wengi tu!

Kama wengi wao wanazungumzia hivyo kuna shida mahali!
 
1. Wanawake wa kichaga ukioa akiona tu una future anaanza kujiweka Loyal kwako kwa kukuaminisha yeye ni wakitofauti anataka mfanikiwe wote

2. Anakuweka karibu hadi hati zisome majina yake kupitia upendo wake fake.

3. Anakuzalia watoto na kukupiga kampani sana katika shughuli zako kiasi kwamba unaweza usitokee kazini na mambo ya kaenda kumbe lengo lake ajimilikishe biashara yako akutawale.

4. Anatengeneza mazingira ujione unauhitaji wa kutanua biashara au ufungue nyingine sababu ya vijikero unavoviona pale kazin kwa kuwepo yeye kwa mitego alosuka ye mwenyewe

5. Anakushawishi ufungue biashara na ukifungua tu anakushawishi hadi anamleta mdogo wake toka moshi asimamie kisa hana kazi kumbe ndio unazidi jiuza utumwani we mwenyewe

6. Ukifika hii stage hapo ndio unakuwa umejikaanga😆 kila ukitaka kufanya kitu mpaka uwape taarifa hata ukitaka hela kwa matumizi binafsi lazima uwaombe wao maana we ushatawaliwa kisaikolojia ukikosea tu home kote wana kununia na kila ofisi wanalipoti tukio lolote kwa mke hadi ukikohoa kazini chini chini wanapeleka taarifa kwa mkeo. Hapa wanaanza kukuwinda nyezo zako unaanza jiua mwenyewe kisaikolojia mawazo hapa ndio dalili mbaya. Ukifika hii stage unawindwa ukosee uonekane we ndio chanzo. Jirinde sana kwenye hii stage usichepuke ukijichanganya umekwisha

7. Ukifika hii stage sasa ndio huna umuhimu waweza fanyiwa chochote ndio . Wanaanza rasmi anzisha migogoro ili wakupoteze wabaki na mali.

8. Utastuka hii stage hakuna ndugu wako anaweza kuja kwako, mali zako wameshika wakwe, mke mbishi, jeuri wakati alikua mwema hapa ndio dalili ya kifo jua ushatawaliwa kilichobaki ni rehema za mwenyezi Mungu

NB ukitaka jua uko stage gani angalia ndugu zako wanaokuja kwako kama wapo wengi jua upo stage 1 kama wanaongezeka upo stage 2 wakianza pungua upo stage 3 na kuendelea.

Naomba thread hii isindikizwe na wimbo wa Chike ft Mohbad- Egwu

Aiyeeee Aiyeeee Aiyeee Aiyeeee Uuuuuu Uuuu Uuuuu Aiyooo Iyoooo Uuuuu🎶🎶🎶
Aisee
 
Mwaka 2019 kuna jamaa yangu kabila mkurya na mfanyabiashara mzuri. Alijichanganya akaoa kibinti cha kichaga kazi mwalimu

Jamaa kwa ulimbukeni ama kwa kurogwa sijui akajikuta amemshirikisha mwanamke kwenye project zake.

Ndoa ilidumu miaka 2 jamaa alipigwa kitu kizito mpaka watu tukashangaa kwani mwanamke alikomba mgao wa maana kutokana na ndoa kuvunjika.

Rafiki yetu ilibidi aanze kujikusanya upya maana alipigwa pigo la kimbunga Hidaya.

Kabla ya hapo wananzengo walisha muonya juu ya hilo kabila ila akakomaza shingo.
 
Haujawahi kuona anapikiwa chakula halafu mpishi anakwambia mimi nimeshakula au nimeshiba?

Si ndio tabia yao. Au yeye anakupikia sotojo la ndizi utumbo na nyama mixer mafuta na beer halafu yeye anasonga ugali na matembele anakula mwenyewe anakwambia mimi najiskia kula ugali.

Kumbe technique ile. Wewe ule unenepeane kama kiboko ili akikupa stress zikuue haraka kwa pressure.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Duh mambo yashakua mengi, anavonipikia masupu supu nkajua ndo mahaba moto moto
 
South Pare hiyo. Hata wanaume wapare wa Usangi hawataki kuoa huko. Wale ni balaa jingine.
Wanawake wa kipare nao ni janga jengine. Wajuaji, viburi, muda wote wasikilizwe wao, wao ndiyo wenye kauli ya mwisho. Halafu ni wabinafsi wanataka mazuri yawe upande wake tu.

Hicho kiburi anacholeta utadhani anakulisha na kukuvisha kumbe hamna kitu. Yeye ndiye anakutegemea wewe kwa kila kitu.

Hili nimelishuhudia kwa rafiki yangu mmoja. Mshikaji wetu mmoja mpare akawa anamwambia; mimi mimi wazazi wangu wote ni wapare lakini mama yangu kaniambia nisioe mpare.
 
wachaga wamefanana sana tabia na wakikuyu wa kule kenya. In fact na vile ni mipaka imetenganisha ila hawa ni ndugu moja tabia zao zinafanana sana hasa kwenye mali. Wakikuyu wana msemo wao yaani familia ikishakuwa na mali basi ujue safari ya baba ya kwenda kuzimu imewadia.. wengi wa wanawake wa kikuyu ni wajane.. wanaume wao wengi wanakufa kwa stress.

wachaga na wakikuyu ni katika wanawake wenye kuwapa stress sana waume zao na wakatili sana. Kuna mmoja huko Nairobi alimuua mumewe mzungu akamzika kwenye chemba ili arithi mali zake..

Ila wapo wazuri japo ni wachache
 
Mnapewa mbuye mnagawa hati za mali akili zipo kweli? wanaofanywa hivyo nao pia ni mademu mwanaume wa kweli ujinga hapana letewa
 
🤣🤣🤣🤣yote Tisa kumi hapo kwenye wimbo hapo

... ACHA NIKUSOGEZEE KABISA!


View: https://youtu.be/scK6RRYEiUY

ACHENI KUWASINGIZIA WACHAGA!
... UTAOAJE MZUNGU WAKATI WEWE BADO UKO STONE AGE, YA KIJIJINI KWENU, HALAFU YASIKUKUTE?
... OA STONE AGE MWENZIO ILI AKILI YAKO IPATE USINGIZI WA 'HUNTER GATHERER'!
😅
 
Mzungu gani, au mzungu wa migombani, labda kama una maana mzungu pori,
... ACHA NIKUSOGEZEE KABISA!


View: https://youtu.be/scK6RRYEiUY

ACHENI KUWASINGIZIA WACHAGA!
... UTAOAJE MZUNGU WAKATI WEWE BADO UKO STONE AGE, YA KIJIJINI KWENU, HALAFU YASIKUKUTE?
... OA STONE AGE MWENZIO ILI AKILI YAKO IPATE USINGIZI WA 'HUNTER GATHERER'!
😅
 
Back
Top Bottom