Dividend
JF-Expert Member
- Jan 15, 2017
- 2,102
- 3,343
Nizilete wapi,Tuletee bac hio mada ya maana bac😆 kama huna tuendelee changia za kipuuzi kama hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nizilete wapi,Tuletee bac hio mada ya maana bac😆 kama huna tuendelee changia za kipuuzi kama hii
Huoni upotoshaji uliopo kwenye hii mada? Kwamba kahitimisha hizo ndio tabia za jumla za wanawake wa kichagaHii ni Jamii forum na hili ni swala la kijamii sasa sijui wewe nini ambacho kinakutatiza.
Ndugu yangu, sina nia mbaya; nimepita sehemu tofauti na nimekutana na watu tofauti wengi wao wanawazungumzia wanawake wa kichagga kwa namna hiyo! Wengi tu!Huoni upotoshaji uliopo kwenye hii mada? Kwamba kahitimisha hizo ndio tabia za jumla za wanawake wa kichaga
Aisee1. Wanawake wa kichaga ukioa akiona tu una future anaanza kujiweka Loyal kwako kwa kukuaminisha yeye ni wakitofauti anataka mfanikiwe wote
2. Anakuweka karibu hadi hati zisome majina yake kupitia upendo wake fake.
3. Anakuzalia watoto na kukupiga kampani sana katika shughuli zako kiasi kwamba unaweza usitokee kazini na mambo ya kaenda kumbe lengo lake ajimilikishe biashara yako akutawale.
4. Anatengeneza mazingira ujione unauhitaji wa kutanua biashara au ufungue nyingine sababu ya vijikero unavoviona pale kazin kwa kuwepo yeye kwa mitego alosuka ye mwenyewe
5. Anakushawishi ufungue biashara na ukifungua tu anakushawishi hadi anamleta mdogo wake toka moshi asimamie kisa hana kazi kumbe ndio unazidi jiuza utumwani we mwenyewe
6. Ukifika hii stage hapo ndio unakuwa umejikaanga😆 kila ukitaka kufanya kitu mpaka uwape taarifa hata ukitaka hela kwa matumizi binafsi lazima uwaombe wao maana we ushatawaliwa kisaikolojia ukikosea tu home kote wana kununia na kila ofisi wanalipoti tukio lolote kwa mke hadi ukikohoa kazini chini chini wanapeleka taarifa kwa mkeo. Hapa wanaanza kukuwinda nyezo zako unaanza jiua mwenyewe kisaikolojia mawazo hapa ndio dalili mbaya. Ukifika hii stage unawindwa ukosee uonekane we ndio chanzo. Jirinde sana kwenye hii stage usichepuke ukijichanganya umekwisha
7. Ukifika hii stage sasa ndio huna umuhimu waweza fanyiwa chochote ndio . Wanaanza rasmi anzisha migogoro ili wakupoteze wabaki na mali.
8. Utastuka hii stage hakuna ndugu wako anaweza kuja kwako, mali zako wameshika wakwe, mke mbishi, jeuri wakati alikua mwema hapa ndio dalili ya kifo jua ushatawaliwa kilichobaki ni rehema za mwenyezi Mungu
NB ukitaka jua uko stage gani angalia ndugu zako wanaokuja kwako kama wapo wengi jua upo stage 1 kama wanaongezeka upo stage 2 wakianza pungua upo stage 3 na kuendelea.
Naomba thread hii isindikizwe na wimbo wa Chike ft Mohbad- Egwu
Aiyeeee Aiyeeee Aiyeee Aiyeeee Uuuuuu Uuuu Uuuuu Aiyooo Iyoooo Uuuuu🎶🎶🎶
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Duh mambo yashakua mengi, anavonipikia masupu supu nkajua ndo mahaba moto motoHaujawahi kuona anapikiwa chakula halafu mpishi anakwambia mimi nimeshakula au nimeshiba?
Si ndio tabia yao. Au yeye anakupikia sotojo la ndizi utumbo na nyama mixer mafuta na beer halafu yeye anasonga ugali na matembele anakula mwenyewe anakwambia mimi najiskia kula ugali.
Kumbe technique ile. Wewe ule unenepeane kama kiboko ili akikupa stress zikuue haraka kwa pressure.
South Pare hiyo. Hata wanaume wapare wa Usangi hawataki kuoa huko. Wale ni balaa jingine.Hao tena, si ndio mabingwa wa kujaza ndugu kwenye nyumba na ukitaka akulaani umwambie sitaki mazoea hapa.
Acha hizo, eti anapeleka Migombani🤣Pesa anazo ila ni blaa , kuna pesa kila december lazima ampe mke apeleke migombani.
Wanawake wa kipare nao ni janga jengine. Wajuaji, viburi, muda wote wasikilizwe wao, wao ndiyo wenye kauli ya mwisho. Halafu ni wabinafsi wanataka mazuri yawe upande wake tu.South Pare hiyo. Hata wanaume wapare wa Usangi hawataki kuoa huko. Wale ni balaa jingine.
🤣🤣🤣🤣yote Tisa kumi hapo kwenye wimbo hapo
... ACHA NIKUSOGEZEE KABISA!
View: https://youtu.be/scK6RRYEiUY
ACHENI KUWASINGIZIA WACHAGA!
... UTAOAJE MZUNGU WAKATI WEWE BADO UKO STONE AGE, YA KIJIJINI KWENU, HALAFU YASIKUKUTE?
... OA STONE AGE MWENZIO ILI AKILI YAKO IPATE USINGIZI WA 'HUNTER GATHERER'!
😅
Yani mi ndo fundi mitambo halafu nile mimafuta hebu acha utani basiKwan hvyo vyakula na ye mwanamke si anakula?, kwa nn ye haugui?