Tabia nisizozipenda kwa mabinti wa kaskazini (hasa wachaga) wakiolewa

Tabia nisizozipenda kwa mabinti wa kaskazini (hasa wachaga) wakiolewa

Mbinu nyingine ni mnapikiwa mivyakula ya ajabu ya viwandani na yenye mafuta mengi chumvi na sukari nyingi kwa miaka 3-5 hutoboi unaanza kuumwa umwa, ukianza dawa mara kisukari mara presha anakuchanganyia dawa nyingine ya macho nk unakufa taratiiibu na hii haijalishi ni kabila gani
 
Mbinu nyingine ni mnapikiwa mivyakula ya ajabu ya viwandani na yenye mafuta mengi chumvi na sukari nyingi kwa miaka 3-5 hutoboi unaanza kuumwa umwa, ukianza dawa mara kisukari mara presha anakuchanganyia dawa nyingine ya macho nk unakufa taratiiibu na hii haijalishi ni kabila gani
Kwan hvyo vyakula na ye mwanamke si anakula?, kwa nn ye haugui?
 
Haizewekani kwenu wamekomaa mpka na wewe ukawa bonge la mtu na hapo wewe unaanza kuwa mbinafsi hutaki na wewe wengine wakulie kwako,mwanamke anahakikisha unakata mzizi na ndugu zako,hata mama yako ataitwa mchawi, yaani hapo anataka ale asali mwenyewe. Uelewe wanaume zile tamaa za ngono zinatutawala kiasi kwamba unafanya maamuzi kwa kuzingatia mb0l0 yako Mana unataka it00mbe huwazi Maisha mengine like mama yako na wewe anahitajika apumzike na maumivu aliyoyapata akiwabeba tumboni apumzike na afarijike yaani ni sawa umehaso inatakiwa ukae ule matunda ya jashi lako.


Sasa umesoma ,ukapmbana ,ukaingia huko mgodini unapata pesa Cha kwanza no kuangalia demu mkali Naye anaangalia Mali zako na sio wewe.

Unapooa kumbuka unaleta ndugu mpya katika Koo yako.
Sio aje mjifanye mnajitenga kisa mna vihela vya mboga Basi hutaki nzi hapo home.

Ila yakija kutokea ndio utajua na ke ni wajanja mno atakuwa anakujaza kwao wakoje na Nani anataka nini, yaani ataongea kiasi kwamba wewe unaingiwa na huruma ya ndugu yake anavyoteseka,muda huo amekuny0nya p√MB√ Umeingia kingi ndipo anapoingiza ajenda zake.kuwa dogo lake akaenda kwa anko wake kuomba hela Ila mke wake akamwawagia maji akamfukuza na akamtukuna kuwa mjomba wao hasomeshi ukoo wote.

Wanawake Wana akili mno na wanazo manipulative technique mwanaume akasome.

Yaani tumewazidi logical brain na muscular powers Ila Sasa kucheza na hisia ama mwili wako kuwa unajisikiaje saivi wako more far that us


Unaweza ukatoka kucheat out akakajua Ila akanyamaza.

Wanazo ama wako gifted na kusoma human instincts, intuition and inner dialogue kuliko mwanaume.


Wewe unawaza yeye na yeye anawaza kwao.


Wanawake ni traders wazuri mno yaani always Wana nufaika kwenye mahusiano kuliko sie
Si ndio hapo afu unakuta mtu bado anatetea kwamba tunawasema vibaya, hii tabia haiwezi vumilika na mwanaume yeyote mwenye akili timamu.
 
Mzee umejua kuwasanua. Umeongea kama usalama wa taifa anatoa ripoti ya uchunguzi kamili. Hii ni kweli kabisa na wanaume wengi hawajui huu mtego huwa wanawekewaje.

Hapo wakikaa pembeni unasikia wanakuita "Chasaka" sijui kama nimepatia. Unachorwa tu kisaikolojia muda uende watu wamalize mission "Take over Chasaka".

[emoji19][emoji19][emoji19][emoji19] Be careful Men, they are out there looking for the next "Chasaka" to take over and then take out.
Kweli yaani. Afu unakuta mwanaume anajisifu nimepata mke mpambanaji,🤣 hivi unajua uyo mwanamke anapambania nini. Hiv unajua kuwa anapambana na wewe akupiku afu unamsifu ulivo jinga🤣
 
Me nilichomoka katika huu mtego nikiwa nimekaa na mtu tena tunadate tunamiezi kadhaa hata mwaka bado. Akawa anajileta sana kutaka kujua nafanya nini na anadadisi ile utadhani katumwa hadi nikaona sio kawaida maana kama mahitaji nampatia, kama ni swala la kujua nafanya nini ni mimi nitamshirikisha nitakapokuwa tayari.

Ila sasa kilichonisaidia ni kusikia mazungumzo yake na mama yake akimuuliza demu anarepoti kama mpelelezi aliye kwenye special Covert mission. Nikaona hapa kuna kitu hakipo sawa ingawa sio shida mtoto kuongea na mama yake but why mama yake awe curious vile na maisha yetu.

Sasa kuna siku tulikuwa tunapiga story tu akaniletea story za ujenzi wakati mimi niliongelea kupanga nyumba kubwa yaani ile nasema hapa hadi mwaka kesho mwishoni tujiandae kuhamia nyumba ya vyumba viwili vya kulala sehemu fulani kutoka hapa pa sasa chumba na sebule tu.

Yeye akaanza kushauri kwann tusijenge kabisa, nikamwambia kujenga kwasasa bado maana hakuna ulazima huo me naona ni kuzika pesa. Yeye akawa kama napigia kura kujenga tena nyumba ya vyumba vitano. Mmmmmmhmn

Me nikamuuliza mavyumba yote ya kazi gani hayo, akanambia si wageni wakija. Nikaona hapa kipengele hiki, kwenye kujielezea akaropoka kuwa anapenda kukaa karibu na mama yake na wadogo zake.

Nikawa naitikia tu kwa kumsapoti kuwa ni wazo zuri sana. Nikaona huyu hanijui vema. Yaani mimi naplan maisha kwaajiri yetu na wewe kumbe wewe unaplan maisha ya kwako na familia yako ulipotoka, kwan mimi sina ndugu wa kujenga nyumba niishi nao.

Niakashaona tu huyu kumshirikisha kwenye maisha yangu baadae kutakuwa na changamoto ambazo zinaepukika kwa urahisi muda huu ila baadae zitakuwa zimeshashika mizizi na itakuwa ni gharama sana kutoka.

Tulikuja kupeana space tu baadae na story iliishiaga hapo.
sasa kilichonisaidia ni kusikia mazungumzo yake na mama yake akimuuliza demu anarepoti kama mpelelezi aliye kwenye special Covert mission 🤣🤣🤣🤣 umetisha
 
Siku hizi hapa JamiiForums ni kujadili ujinga ujinga tu. Ishu ya ubaguzi wa kikabila ni ya kujadiliwa kwenye forum kubwa kama hii?

Nashangaa JamiiForums wanaacha mada kama hizi zijadiliwe kichuki chuki na kufuta mada za maana
 
1. Wanawake wa kichaga ukioa akiona tu una future anaanza kujiweka Loyal kwako kwa kukuaminisha yeye ni wakitofauti anataka mfanikiwe wote

2. Anakuweka karibu hadi hati zisome majina yake kupitia upendo wake fake.

3. Anakuzalia watoto na kukupiga kampani sana katika shughuli zako kiasi kwamba unaweza usitokee kazini na mambo ya kaenda kumbe lengo lake ajimilikishe biashara yako akutawale.

4. Anatengeneza mazingira ujione unauhitaji wa kutanua biashara au ufungue nyingine sababu ya vijikero unavoviona pale kazin kwa kuwepo yeye kwa mitego alosuka ye mwenyewe

5. Anakushawishi ufungue biashara na ukifungua tu anakushawishi hadi anamleta mdogo wake toka moshi asimamie kisa hana kazi kumbe ndio unazidi jiuza utumwani we mwenyewe

6. Ukifika hii stage hapo ndio unakuwa umejikaanga😆 kila ukitaka kufanya kitu mpaka uwape taarifa hata ukitaka hela kwa matumizi binafsi lazima uwaombe wao maana we ushatawaliwa kisaikolojia ukikosea tu home kote wana kununia na kila ofisi wanalipoti tukio lolote kwa mke hadi ukikohoa kazini chini chini wanapeleka taarifa kwa mkeo. Hapa wanaanza kukuwinda nyezo zako unaanza jiua mwenyewe kisaikolojia mawazo hapa ndio dalili mbaya. Ukifika hii stage unawindwa ukosee uonekane we ndio chanzo. Jirinde sana kwenye hii stage usichepuke ukijichanganya umekwisha

7. Ukifika hii stage sasa ndio huna umuhimu waweza fanyiwa chochote ndio . Wanaanza rasmi anzisha migogoro ili wakupoteze wabaki na mali.

8. Utastuka hii stage hakuna ndugu wako anaweza kuja kwako, mali zako wameshika wakwe, mke mbishi, jeuri wakati alikua mwema hapa ndio dalili ya kifo jua ushatawaliwa kilichobaki ni rehema za mwenyezi Mungu

NB ukitaka jua uko stage gani angalia ndugu zako wanaokuja kwako kama wapo wengi jua upo stage 1 kama wanaongezeka upo stage 2 wakianza pungua upo stage 3 na kuendelea.

Naomba thread hii isindikizwe na wimbo wa Chike ft Mohbad- Egwu

Aiyeeee Aiyeeee Aiyeee Aiyeeee Uuuuuu Uuuu Uuuuu Aiyooo Iyoooo Uuuuu🎶🎶🎶
Duuh mwamba umesomea Cuba nn?

Hii ina ukweli sana lkn
 
Back
Top Bottom