Yaani unavurugwa hadi unafkuza ndugu zako we mwenyewe. Ukianza kugundua akili zinakurudi unakuta Kwenu walishakutenga zamani kisa tabia za mke unakosa hata ndugu wa kukupiga kampani uzeeni
Haizewekani kwenu wamekomaa mpka na wewe ukawa bonge la mtu na hapo wewe unaanza kuwa mbinafsi hutaki na wewe wengine wakulie kwako,mwanamke anahakikisha unakata mzizi na ndugu zako,hata mama yako ataitwa mchawi, yaani hapo anataka ale asali mwenyewe. Uelewe wanaume zile tamaa za ngono zinatutawala kiasi kwamba unafanya maamuzi kwa kuzingatia mb0l0 yako Mana unataka it00mbe huwazi Maisha mengine like mama yako na wewe anahitajika apumzike na maumivu aliyoyapata akiwabeba tumboni apumzike na afarijike yaani ni sawa umehaso inatakiwa ukae ule matunda ya jashi lako.
Sasa umesoma ,ukapmbana ,ukaingia huko mgodini unapata pesa Cha kwanza no kuangalia demu mkali Naye anaangalia Mali zako na sio wewe.
Unapooa kumbuka unaleta ndugu mpya katika Koo yako.
Sio aje mjifanye mnajitenga kisa mna vihela vya mboga Basi hutaki nzi hapo home.
Ila yakija kutokea ndio utajua na ke ni wajanja mno atakuwa anakujaza kwao wakoje na Nani anataka nini, yaani ataongea kiasi kwamba wewe unaingiwa na huruma ya ndugu yake anavyoteseka,muda huo amekuny0nya p√MB√ Umeingia kingi ndipo anapoingiza ajenda zake.kuwa dogo lake akaenda kwa anko wake kuomba hela Ila mke wake akamwawagia maji akamfukuza na akamtukuna kuwa mjomba wao hasomeshi ukoo wote.
Wanawake Wana akili mno na wanazo manipulative technique mwanaume akasome.
Yaani tumewazidi logical brain na muscular powers Ila Sasa kucheza na hisia ama mwili wako kuwa unajisikiaje saivi wako more far that us
Unaweza ukatoka kucheat out akakajua Ila akanyamaza.
Wanazo ama wako gifted na kusoma human instincts, intuition and inner dialogue kuliko mwanaume.
Wewe unawaza yeye na yeye anawaza kwao.
Wanawake ni traders wazuri mno yaani always Wana nufaika kwenye mahusiano kuliko sie