Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Nyoosha maelezo sasa, vipi vya ukweli na vipi si vya ukweli. Mimi hapa ni wakili wenu wanawake wa kishumundu.Kuna vya ukweli Na Kuna ambavyo sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyoosha maelezo sasa, vipi vya ukweli na vipi si vya ukweli. Mimi hapa ni wakili wenu wanawake wa kishumundu.Kuna vya ukweli Na Kuna ambavyo sio
Hiki kikao ni cha kuwasema wanawake wa kichagga hao wengine tutawajadili kikao kijacho sawa ndugu.Una chuki za kindezi sana jomba
Hayo mauaji yanayotokea Geita huko kila siku ni wachaga wale pia?
Unajua tabia za wamama wa kinyakyusa kwenye ndoa?
Unajua tabia za wahangaza wakiolewa?
Acheni kuwasakama wachaga.
Mmmmmmhmn miaka 28 halafu mpole na hana mtoto? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwanaume ukiwa chokochoko pole kama zezeta lazima upandwe kichwani na kuswaga kama kondoo.
nina dada yangu mdogo wangu kiumri namtafutia mchumba kabila mmeru umri miaka 28 ni mpole mstaarabu hana mtoto
Duuh,Bora utangulie Kwa Mungu ili watoto waishi vizuri, kuliko kuhangaika huko urogwe watoto wageuke machokoraa...
Mnaambiwa msioe machame, nyie wabishi ona sasa 🤣1. Wanawake wa kichaga ukioa akiona tu una future anaanza kujiweka Loyal kwako kwa kukuaminisha yeye ni wakitofauti anataka mfanikiwe wote
2. Anakuweka karibu hadi hati zisome majina yake kupitia upendo wake fake.
3. Anakuzalia watoto na kukupiga kampani sana katika shughuli zako kiasi kwamba unaweza usitokee kazini na mambo ya kaenda kumbe lengo lake ajimilikishe biashara yako akutawale.
4. Anatengeneza mazingira ujione unauhitaji wa kutanua biashara au ufungue nyingine sababu ya vijikero unavoviona pale kazin kwa kuwepo yeye kwa mitego alosuka ye mwenyewe
5. Anakushawishi ufungue biashara na ukifungua tu anakushawishi hadi anamleta mdogo wake toka moshi asimamie kisa hana kazi kumbe ndio unazidi jiuza utumwani we mwenyewe
6. Ukifika hii stage hapo ndio unakuwa umejikaanga😆 kila ukitaka kufanya kitu mpaka uwape taarifa hata ukitaka hela kwa matumizi binafsi lazima uwaombe wao maana we ushatawaliwa kisaikolojia ukikosea tu home kote wana kununia na kila ofisi wanalipoti tukio lolote kwa mke hadi ukikohoa kazini chini chini wanapeleka taarifa kwa mkeo. Hapa wanaanza kukuwinda nyezo zako unaanza jiua mwenyewe kisaikolojia mawazo hapa ndio dalili mbaya. Ukifika hii stage unawindwa ukosee uonekane we ndio chanzo. Jirinde sana kwenye hii stage usichepuke ukijichanganya umekwisha
7. Ukifika hii stage sasa ndio huna umuhimu waweza fanyiwa chochote ndio . Wanaanza rasmi anzisha migogoro ili wakupoteze wabaki na mali.
8. Utastuka hii stage hakuna ndugu wako anaweza kuja kwako, mali zako wameshika wakwe, mke mbishi, jeuri wakati alikua mwema hapa ndio dalili ya kifo jua ushatawaliwa kilichobaki ni rehema za mwenyezi Mungu
NB ukitaka jua uko stage gani angalia ndugu zako wanaokuja kwako kama wapo wengi jua upo stage 1 kama wanaongezeka upo stage 2 wakianza pungua upo stage 3 na kuendelea.
Naomba thread hii isindikizwe na wimbo wa Chike ft Mohbad- Egwu
Aiyeeee Aiyeeee Aiyeee Aiyeeee Uuuuuu Uuuu Uuuuu Aiyooo Iyoooo Uuuuu🎶🎶🎶
Watu mkiwa mnatafuta matatizo huwa mnatumia kila aina ya mbinu kuyapata hata iweje. Sasa kwan hapa tunaongelea kitu gani, yaani unaambiwa usinywe Coca-cola wewe unauliza "hata ya kopo?" Sasa ya kopo ni chai ya maziwa? [emoji23][emoji23][emoji23]Hata WAROMBO? Ili nikae mkao wa kula,. Ngoja niandike jina la mama yangu mzazi kila kitu hadi simu yangu
😀😀😀😀Watu mkiwa mnatafuta matatizo huwa mnatumia kila aina ya mbinu kuyapata hata iweje. Sasa kwan hapa tunaongelea kitu gani, yaani unaambiwa usinywe Coca-cola wewe unauliza "hata ya kopo?" Sasa ya kopo ni chai ya maziwa? [emoji23][emoji23][emoji23]
.shemegiii . Hako kaduka ndio kanakuzuzua?vijjiko na masufuria, majembe na mabakuli, kitanda na meza?? we mwandikie tu mama...Hata WAROMBO? Ili nikae mkao wa kula,. Ngoja niandike jina la mama yangu mzazi kila kitu hadi simu yangu
Ngoja niende stage 2 kwanza.shemegiii . Hako kaduka ndio kanakuzuzua?vijjiko na masufuria, majembe na mabakuli, kitanda na meza?? we mwandikie tu
Hao tena, si ndio mabingwa wa kujaza ndugu kwenye nyumba na ukitaka akulaani umwambie sitaki mazoea hapa.Na kuna baadhi ya wapare pia wapo hivyo............ukiingia kwa hawa wanawake unapotezwa mapema,,,,mchume mali mzae watoto then safari yako mwisho.....nimeshuhudia haya matukio kama ma 3 kwa watu wa karibu na stage mbaya zaidi ni ukianza kuona kwako ndugu wa mwanamke wanaanza kua wengi kuliko wako mwanaume hapo huna maisha marefu
Nadhani hata sisi unatukera sana kutuingilia katika kuwasema wadada wa kichagga.I wonder. Mie sio mchagga lakini nakerwa na tabia za kuwasimanga wadada wa kichagga, ilhali tabia za namna hio zipo kila kabila. Hio ni character ya mtu mmoja mmoja, hasa kwente tamaa za mali.
Sasa mbona Tanzania haijaoa wachagga, hao wanawake wengine wazuri nao wote ni wachagga au basi umeamua tu kutetea? [emoji848]Sasa we mtu r na l tu zinakushinda ndio utakuwa na akili kweli? Alafu watu tunataka wanawake wa aina hiyo, sio mategemezi wanaosubiri kutunzwa kama mayai. Hao unaowasema ndio ndoto ya wanaume wengi kwa taarifa yako. Mwanamke anayekufanya bora kuliko jana. Tena wachaga wana hofu ya Mungu sana. Eti wakuue wangapi wameuliwa? Mnawaza msichokijua, mnafanganyana bila akili. Hakuna mwanaume mwenye akili asietaka kuwa na mwanamke wa kichaga. Jenerali Ulimwengu kauliwa? Erick Shigongo kauliwa? Sumaye? Wapo kibao yani. Ukiwa na mwanamke wa kichaga unakuwa na uhakika wa kuzaliwa watoto wazuri wenye akili, maadili na hofu ya Mungu. Sio wanawake wa kiswahili na washirikina. Embu tutolee upupu wako hapo!
Stress ni mbaya sana kwa afya ya mwanaume especially umri unavyokuwa ukielekea utu uzima. Stress inaleta magonjwa yasiyo ya kuambukiza na kuudhoofisha mwili.Stage yeyote ukizubaa stress zinakuua suala ni wewe mwenyewe ulianza stress katika stage ipi
Unahasira sana mzee. Shusha hasira kwanza then tuongee.Upumbavu wote huez mlaumu mwanamke,wa kulaumiwa ni wewe mwanaume kwa kujisahau
Aika mbe.FACTOS! Me ni mchaga nimeoa mchaga napigia mstari kusema uliyoyaandika yana ukweli 95%
Atakuwa ni mwanamke huyu. Yaani mwanamke anaolewa hamjui kuwa amekuwa mtu wa koo mpya Ila bado Yuko chained na koo yake aliyozaliwaUnahasira sana mzee. Shusha hasira kwanza then tuongee.
Endapo hizi taarifa ni za kweli 🤠!